Utoro wa wabunge Bunge maalum la Katiba utafhitiwa na nani?

kirang'enta

Member
Dec 27, 2013
35
23
Wana jf kwa uzoefu wa Bunge la JMT wabunge pamoja na mawaziri wamekuwa hawajudhurii vikao bus Bunge kama insvyotarajiwa. Tukiwa tumebakiza siku chache kabla ya kuanza kikao cha Bunge maalum la Katiba - udhibiti wa mahudhurio utafanywa na nani au chombo gani? Mwenye kufahamu anijuze
 
Back
Top Bottom