Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 54
wsdau sasa tunageuza mada inakwenda ndivyo sivyo,hapa tunataka hawa wazee ambao wamelitumikia taifa hili kwa muda mrefu na kupata uzoefu wakutosha ni wakati wao sasa kuingia ktk sekta binafsi ilikutumia ujuzi na mtaji walionao ktk kukuza uchumi na sio kuzeekea kwenye madaraka ambayo wamekuwa nayo miakanenda rudi.Na sio kunisukuma mimi ambaye ninacheti tu bila ujuzi wala mtaji.hilisio suala la uccm wa nanihiiiii
Kuwa specific, ni nafasi gani unazoongele wewe hao wazee waziachie?
Kumbuka kuna nafasi ambazo huwachwa kwa mujibu wa sheria ambapo mtu akifikisha miaka 60 hustaafu kazi. Lakini kuna nafasi zingine haziko kwa mujibu wa sheria.
Hata hivyo tusiwe tunajadili hoja bila ya kuwa na lengo, unaposema vijana washike hizo nafasi unamaanisha ni vijana gani?
Je, ni nafasi gani hasa ambazo wewe unaziona kwamba zimekaliwa na wazee kinyume na sheria? Kama zipo zianike hapa.