Uteuzi mpya wa Rais Samia, leo Juni 8, 2023, Prof. Abel Makubi ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa MOI

Wanatuchezea sana aiseh! Ni vile tunavyojidai tumekunywa maji ya bendera ya Simba na Yanga, Diamond vs Harmonize na maujinga mengne ya kubet n.k
Viongozi wa hii nchi ni wezi wa kutupwa kabisa!
 
Kuwatoa kwenye mjadala wa bandari labda amteue Sabaya!😁.
 
Hii ndio kazi anayoiweza huyo msanii wetu, teuzi ilikuwa kila wiki, sasa ni kila siku!.

Mimi bado niko bandarini na ule mkataba wa hovyo, siondoki kule n'go!,

Wewe endelea kuteua tu hata kila dakika, hao wanaokufundisha huu utoto ili tusahau ujinga wenu mliofanya kwenye mkataba wanakudanganya.
Halafu siku hz kaja na staili mpya bila shaka kutoka kwa msanii JK...kukaa kimya, kwamba huo ni upepo tu utapita!.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa nafasi kadhaa, amemteua Prof. Abel Makubi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa (#MOI) akichukua nafasi ya Dkt. Respicious Boniface ambaye amemaliza muda wake

Omar Issa ameteuliwa kuwa Mkuu wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) akichukua nafasi ya Gharib Bilal (Makamu wa Rais Mstaafu) ambaye amemaliza muda wake

Amemteua Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee kuwa Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) akichukua nafasi ya Balozi Dkt. Marten Lumbanga aliyemaliza muda wake

Dkt. Edwin Mhende ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB Plc kwa kipindi cha pili
View attachment 2649635
View attachment 2649639
Prof. Abel Makubi
View attachment 2649640
Dkt. Respicious Boniface
Kwangu mimi ni maoni yangu naona Prof Makubi kahushwa choe maana alianza kuwa CMO(MGANGA MKUU WA SERIKALI) baadae akapandishwa kuwa Katibu Mkuu wizara ya Afya.Sasa kuridi kuwa mkurugenzi wa MOI ni demotion ya hatari ila mshahara wake wa mwisho akiwa katibu mkuu unaweza kubaki kama ilvyo
 
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa nafasi kadhaa, amemteua Prof. Abel Makubi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa (#MOI) akichukua nafasi ya Dkt. Respicious Boniface ambaye amemaliza muda wake

Omar Issa ameteuliwa kuwa Mkuu wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) akichukua nafasi ya Gharib Bilal (Makamu wa Rais Mstaafu) ambaye amemaliza muda wake

Amemteua Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee kuwa Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) akichukua nafasi ya Balozi Dkt. Marten Lumbanga aliyemaliza muda wake

Dkt. Edwin Mhende ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB Plc kwa kipindi cha pili
View attachment 2649635
View attachment 2649639
Prof. Abel Makubi
View attachment 2649640
Dkt. Respicious Boniface
Toka uKatibu wa Wizara kwenda Mtdj MOI. Halafu anaripoti kwa waliokuwa wasaidizi wake huko Wizarani. Only in Tz. Huyu ni Dr Bingwa magonjwa ya Moyo/Damu. Wapi na Wapi Mifupa?
 
Ndio anachokiweza kufanya ana ana ana do kwenye orodha ya majina anayopelekewa.
 
nafsi yangu inaumia sana!
naona kila kitu kilichokizuri cha watanganyika kinaondoka na wanaotengeneza hoja ya kuondoka hivi vitu ni watanganyika wenyewe wakimtumia mama kama muhuri tu na kumbebesha kila lawama huku wakisema hawana cha kufanya watapiga kelele kisha watanyamaza tu halafu watasahau kweli?
binafsi sijausoma lakini mpaka unafika hapa lazima nikubali kuwa tumepigwa na tutake tusitake tanganyika wanayoifaidi ni familia chache sana zenye hoja nzuri za ushawishi lakini wakiuza nchi kwa faida ya ubinafsi wao.
kuna muda unatamani viongozi wote wafe na tuanze upya labda kunaweza kuwa na unafuu.
waafrika bado tunasafari ndefu sana hapa ndipo naukumbuka wimbo wa utoto unaosema tumefika bado kisha mwitikiaji anasema bado achoki anauliza tutafika lini naye anabaki na jibu moja linalojirudia kuwa bado.
Pole.
...suala hil linanirudisha nyuma kidogo. Unakumbuka Ziara ya CCM Uarabuni? Anyways, nafikiri kulikuwa na uzi humu, ambao nilichangia na nakumbuka kusema 'kule hawakujaziwa mabakuli, bali walipewa marobota ya fedhea.(for lack of a better word) Yaani , nikimaanisha CCM walijikita kule kwenda kuhakikishiwa Ushindi, angalau wa pesa na wao kutoa ahadi kama hizo, kuwa watashinda, in short kuhakikishia Usalama wa Investments.(wawekezaji).....kama binadamu kuna sehemu ukifika na kuangalia nyuma utakuta kuna vitu vya kufedhehesha, katika Suala la Wamasai, na suala hili la Bandari watakuja kutueleza, ...na uzuri wenyewe,haitochukua muda kwani their time is Up CCM must go!

Ben(R.I.P) alikuja kukiri....it was late, ilimuandama to the grave.

Nasikia kichefuchefu(cha kweli kabisa) kwa uchu huu wa madaraka na nguvu ya peca(tafuta historia yake ) ndio Peca(pesa) yawa wareno wanayonyesha hawa ndugu zangu wa CCM....yaani twaja kuzomewa tena mitaani.

Hatahivyo, mbadala wake CCM ndio kabisa....hatari!

Haya ya machaguzi chaguzi(uteuzi) ni njama tu za kufunika moshi. Dar ES Salaam kwa maana yake yote is gone!
 
Back
Top Bottom