Utetezi wangu wa wazi wa William Ngeleja - The use of Emergency Powers Act 1986

Leo hii ni siku ya 3 hatuna umeme hapa kwetu.

Nishachoka. Kama huo umeme unaletwa na Rostam au sijui Symbion..mimi I care less. Nataka umeme that's it


mengine mtajuana wenyewe na nakala zenu ndefu

kweli watu wana hasira.... hapo kwenye Red mkuu ulimaanaisha nini?
 
Nyinyi kubalini tu kuwa hatuwezi kulitatua hili tatizo. Kama tunaweza tungekuwa tushalitatua. Sasa kama mpo ambao mnadhani mnaweza kulitatua hebu litatueni basi mniumbue mimi wenu mtukutu.....Narudia tena, hakuna mwenye ubavu wala werevu wa kulitatua hili tatizo.
It almost hard to argue hii statement kali ya ukweli.
 
Hakuna wakati hata mmoja kuanzia ukoloni mpaka sasa, Tanganyika na sasa Tanzania ilipojitosheleza kwa umeme.

Kwa sasa na jinsi matumizi yanavyokuwa kwa kasi, na wengi kuhamia mijini na kuona raha ya umeme. Matumizi ya hapo ulipo umeme yameoingezeka maradufu.

Si siri, hakuna awamu iliowekeza katika umeme kuanzia kabla ya Uhuru na mpaka hii leo, zaidi ya awamui hii ya Kikwete. Miradi zaidi ya 20 ya kuzalisha umeme, miradi zaidi ya 50 ya usambazaji wa umeme. Jitihada za makusudi kabisa za kubadili sheria za ufuaji na usambazaji wa umeme, kututoa kutoka mfumo wa kuitegemea Tanesco pekee, umeb uniwa na kutendeka awamu hii.

Kina Mwanakijiji mna yenu mnayoyatafuta lakini ukweli unabaki kuwa ukweli na fumbo hufumbiwa mjinga.

wewe ndo bure kabisaa!
 
Mwanakijiji.

  • Ngeleja kakaa kwenye hiyo wizara kwa muda gani?
  • Process ya zabuni ya mitambo ya richmond ilichukua muda gani mpaka umeme wao inawashwa
  • Kuna change gani Toka ngeleja awe waziri hali ilivyokuwa zamani na toka ngeleja aingie.
Nimesoma soma habariza kimataifa nime " mwema wa UK" amejiuzulu kutoka na jeshi lake kukubwa na kasfa ya kuhack simu. Yeye hausiki lakini ni sehemu ya Uwajibikaji. Mwinyi naye aliwai kufanya hivi.

Tunataka wanasiasa na vingozi wa Tanzania wawe na utamaduni wa uwajibikaji. Ngeleja sio chanzo cha tatizo lakini ni sehemu ya tatizo

Tunaaambiwa umeme wa richmond ulikuwa ndio wa bei nafuu tatizo lake kuwa ni pocess iliyotumika ilikuwa ni corrupt. Kwa nn Wizara ya nishati inashindwa kuleta "Richmond" iliyo clean?


Sasa ukienda tovuti ya Tanesco sehemu ya miradi
  • Govennment funded- Kuna miradi kibao imepewa jina Electirification of XXXXXX. Sasa hapo unajuliza wana electrify nini wakati hakuna supply. Priority ya serikali ni ninikati ya kusambaza umeme wilayani na vijijini au kuongeza uwezo wa uzalishaji huo uemem. Binafsi naona tun ni poor organisatin and allocation of resources( Financial) Yaaani wanasambaza mgao. Sioni fuly funded gorvemnet project kuhusu ugeza uzalishaji .http://www.tanesco.co.tz/index.php?option=com_content&view=article&id=96&Itemid=254 .


  • Donor Funded
    • Rumakali hydropower Plant - 222 MW- kukamilika 2018
    • Kinyerezi 240MW Gas Based Power Plant – New - 2013
    • Kiwira Coal to Electricity Project – Phase I-200MW, Phase II-200MW; Fuel from the Kabulo ridge Coal Reserves - New - 2011/2014
Tembelea http://www.tanesco.co.tz/index.php?option=com_content&view=article&id=97&Itemid=255.

Hapa kilichoishangagaza na kujiuliza ni ni huu mradi wa IPTL kubadilsha mitamb yake kuttomia mafuta ya gharama . Nani ana gurantee hiyo mikopo kwa IPTL.

 
It almost hard to argue hii statement kali ya ukweli.

Just think about it for a second. We are approaching 50 years of independence and reliable electricity is still a major problem. How could that be? The answer I get is we can't fix/ solve the damn problem. We can talk all we want...theorize day and night...moan and groan ad infinitum.....but at the end of the day it is our action(s) that will rid us of the crisis. Talk ain't gonna cut it. Now the million dollar question is who can do it? So far no one can.
 
Mi sijaona lolote hapo, kwani haya matatizo ya njaa, elimu, shule, mipango miji mibovu, kuuza nyumba za serikali yameanza leo? wakati jamaa anaingia madarakani watz tuliamini atarekebisha mambo yote hayo likiwepo suala la mikataba mibovu. Lakini naye cha ajabu anafuata mlemle hivyo ngereja hawezi kukwepa lawama mimi nasema. Sasa nani alaumiwe? serikali ya CCM? Tanesco ama nani? wao kazi ni kununua magari ya kifahali huku hawajali maisha ya watz. sasa hili la umeme ni kwa vile linaonekana wazi. lakini kuna majanga mengi sana ya kitaifa. CCM imeshindwa na sera zao mbovu
 
Just think about it for a second. We are approaching 50 years of independence and reliable electricity is still a major problem. How could that be? The answer I get is we can't fix/ solve the damn problem. We can talk all we want...theorize day and night...moan and groan ad infinitum.....but at the end of the day it is our action(s) that will rid us of the crisis. Talk ain't gonna cut it. Now the million dollar question is who can do it? So far no one can.
I hear you and I do agree with you.I guess we know who can do it, don't we?The question is, sisi wananchi tunaubavu na werevu wa kumfanya huyu mtu kufanya such an executive decision?
 
Hivi Kikwete si aliwahigi kuwa waziri wa nishati au sijui naibu waziri wa nishati? Alifanya nini akiwa kwenye tenure yake kuhakikisha umeme wa uhakika unakuwa si tatizo?
 
Hivi Kikwete si aliwahigi kuwa waziri wa nishati au sijui naibu waziri wa nishati? Alifanya nini akiwa kwenye tenure yake kuhakikisha umeme wa uhakika unakuwa si tatizo?

Aliingiza nchi kwenye mkenge kwa kusaini mkataba wa kifisadi na ile kampuni toka Malaysia iitwato IPTL.
 
Wapi bana! Ngeleja alitakiwa alijue hilo tangu aliposhika post alonayo. Asimamie kwa umahiri mkubwa na tupige hatua. Kama hakulijua kwa mapana ulosema MMK, basi kuna dosari mahali.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Halafu watu wakamwamini kuwa atawaletea maisha bora? Nachoka kabisa mie....

Mtandao ukaingia kazini kukusanya mabilioni toka kwa mafisadi ili kufanya juu chini kuhakikisha anaingia Ikulu huku wakimchafua yule aliyekuwa tishio kubwa la mtandao SAS. Wengine walidiriki kumuita Kikwete eti chaguo la Mungu!!!! Kumbe ni bomu la hali ya juu!! lakini kwa upumbavu wetu Watanzania pamoja na ushahidi wa kutosha kwamba uongozi umemshinda ataendelea kuwepo madarakani kwa kipindi kingine cha miaka minne huku nchi ikiendelea kuangamia!!!! Maskini Tanzania na Watanzania!!!
 
naunga mkono mwkjj kwa namna alivyoeleza, tatizo siyo kufukuza,au kujiudhuru kwa mtu tatizo ni la rais kutangaza hali ya hatari kwakusimamisha shughuli za wizara zote kwanzatupate hela za kondoa tatizo hili hata mwezi sita inatosha, asimamishe barabara, ujenzi, ambao unatumia hela nyingi nadhani trioni nne zinatosha kukamilisha miradi yote.
 
I still maintain that there is no one, absolutely no one that knows what to do. If there is one out there, then he or she should prove me wrong.

Mkuu maybe you are the only one who don't know whats to be done.., am sure majority of the people even Ngeleja himself knows what to do, but doing it its a different scenario all together...,

Mkuu even if I it was true all Tanzanians did not know whats to be done, why shouldn't we copy and paste whatever other countries are doing and bring those projects here?

Mkuu the main problem is we have been using short term solutions for long term problems..., even now there are a millions of projects (trying do do everything and we end up doing nothing) I think first step is to take one project at a time and make sure it is completed before we step on another solution, we had better cure this problem once and for all even if that means we will have Mgao for two years will concentrating on a project of making mgao a History
 
Come 2015 CCM watashinda tena. Wataendelea kuwa na super majority bungeni na Ikulu wataibakiza mikononi mwao.
 
Mkuu maybe you are the only one who don't know whats to be done.., am sure majority of the people even Ngeleja himself knows what to do, but doing it its a different scenario all together...,

Mkuu even if I it was true all Tanzanians did not know whats to be done, why shouldn't we copy and paste whatever other countries are doing and bring those projects here?

Mkuu the main problem is we have been using short term solutions for long term problems..., even now there are a millions of projects (trying do do everything and we end up doing nothing) I think first step is to take one project at a time and make sure it is completed before we step on another solution, we had better cure this problem once and for all even if that means we will have Mgao for two years will concentrating on a project of making mgao a History

Longolongo na talalila za nini? Kama mpo mnaojua nini cha kufanya si mkifanye basi mtunusuru kutoka kwenye hii adha ya mgao usio na mpangilio.

Sijawahi kuona mimi mtu anayetaabika kuendelea kutaabika huku akiwa anajua nini cha kufanya kuondokana na tabu anazozipata. Sasa kama wengi wa Watanzania wanajua nini cha kufanya kama ulivyosema halafu hawakifanyi basi nashindwa kabisa kuelewa!!!
 
Come 2015 CCM watashinda tena. Wataendelea kuwa na super majority bungeni na Ikulu wataibakiza mikononi mwao.

Naam hakuna ubishi hapo, kwa kushirikiana na vyombo vya dola (mahakama, jeshi, polisi, FFU, mgambo n.k), tume ya uchakachuaji wa Uchaguzi ambayo ni kitengo kingine cha magamba na zile kanga, fulana, kofia za rangi ya manjano na kijani na hata pesa, magunia ya mchele, mahindi, pilau vitatumika kuhakikisha magamba wanabaki madarakani. Si walishasema CCM itatawala milele...hakuna cha kushangaza hapo.
 
Ngeleja anabeba mizigo ya Dhambi iliyoachwa awamu ya 3........
 
Ngeleja anabeba mizigo ya Dhambi iliyoachwa awamu ya 3........

Miaka sita ndani ya Wizara bado anababaisha babaisha tu! Kwa maoni yangu huyu naye anastahili pia lawama. Miaka sita ni kipindi kirefu cha ngalau kuweza kutwambia Watanzania nimefanya hili na lile lakini bado ni yeye na yule Malima ni Wasanii tu kama alivyo BOSS wao.
 
Halafu watu wakamwamini kuwa atawaletea maisha bora? Nachoka kabisa mie....

Jana maeneo ya Mwenge kuna mzee mmoja anasema bila Kikwete simu za mchina tusingekuwa tunatumia anasema cmu kwa 30000 unapata nilichoka akapigilia hayo ndo maisha bora
 
Back
Top Bottom