newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
Wazalendo wenzangu,kwa kipindi cha takriban miezi 12 nimekuwa najiluliza tume za zinazoundwa na raisi/serikali ziko ngapi?na utendaji wake nani anajukumu la kuufuatilia.
Naona na Nadhani kuna umuhimu wa kuweka tovuti ya kuorodhesha (List) ya tume zinazoundwa na muda wake unatakiwa kukamilisha kazi,na matokeo(findings) za tume.alafu kuwe na uwezekano wa kujua kama matokeo yalitiliwa mkazo,na gharama za kuendesha hizo tume na washiriki katika hizo tume.na je kuna watu wanafanya kazi katika tume zaidi ya moja kwa wakati huo huo.
Teknologia ipo na tunaweza kuifanya hii kazi.
Its time we take action to change uchumi wetu kwa kushiriki katika siasa ya nchi yetu.
Naona na Nadhani kuna umuhimu wa kuweka tovuti ya kuorodhesha (List) ya tume zinazoundwa na muda wake unatakiwa kukamilisha kazi,na matokeo(findings) za tume.alafu kuwe na uwezekano wa kujua kama matokeo yalitiliwa mkazo,na gharama za kuendesha hizo tume na washiriki katika hizo tume.na je kuna watu wanafanya kazi katika tume zaidi ya moja kwa wakati huo huo.
Teknologia ipo na tunaweza kuifanya hii kazi.
Its time we take action to change uchumi wetu kwa kushiriki katika siasa ya nchi yetu.