Utata wa goli la Maxi jana dhidi ya Ihefu, Azam TV yachangia

vibertz

JF-Expert Member
Mar 15, 2022
1,384
2,530
Kuna wimbi la mashabiki, wachambuzi na wadau wa soka wakihoji uhalali wa goli la tano. Kwa wenzetu walioendelea mambo kama haya yameshapitwa na wakati ila kwa nchi zetu za kimasikini bado tumeshindwa kuendana na teknolojia.

Watu tumepiga kelele sana humu juu ya uchache wa camera za Azam, lile tukio kwa vituo vilivyopiga hatua huwa wanajaribu kuangalia angle sahihi ya kuonesha position ya mpira kama ulivuka mstari au ulikuwa nje ya mstari ila Azam wana replay, replay tu pasipo kuzingatia angle sahihi inayoweza kuondoa utata na watu wote wakaondoka na jibu moja kuwa eidha mpira ulikuwa nje au mpira ulikuwa upo ndani.

Kuna matukio mengine ya mfano offside, Azam bado wanashindwa kututendea haki watazamaji wake kwa kufanya replay kwa kutumia angle sahihi kisha wakachora mstari wa offside position ili watazamaji waondoke na jibu moja kulingana na marejeo. Badala yake wataonesha marejeo isiyo na angle sahihi kisha mtazamaji apime kwa macho yake kama mchezaji kazidi au lah.

Tunaomba msimu unaokuja Azam muende na wakati, mmefanya makubwa katika kui brand ligi yetu na kuifanya ifatiliwe na watu wa mataifa tofauti tofauti hivyo ni wakati wa kwenda sambamba na ukuaji wa teknolojia, angalieni supersport, kukiwa na utata wa mpira kuvuka au kutovuka goal line wanavyofanya replay inayomaliza utata kabisa pale pale mchezoni. Unaona kabisa position ya mpira pale pale uliopo mstari tena tukio linachukuliwa kwa ukaribu kabisa.

Lakini tukio la jana kila mtu kaondoka na jibu lake, wengine goli wengine sio goli hiyo yote inatokana na Azam kushindwa kuondoa utata wa tukio.

Hii chini ni moja ya video inaonesha ule mpira uliingia ndani, lakini bado video haikuwa na kiwango cha kufuta utata kivile.
View attachment 2932460
 
Upo sahihi, goli kama lile la jana ukiachana na Camera positioning ndio tunakuja kuona Umuhimu wa VAR , pale huwezi kumlaumu refa., Kwa Azam media shida inaweza isiwe vifaa ila wataalamu hawana ujuzi wa kutosha, wawape hata tour ya kimafunzo kwenda hata Saudi hapo wajifunze kwa wenzao
Sisi mashabiki wa Yanga goli tano ni incentives tu kwa furaha yetu lakini sio malengo , kikubwa point ni tatu na wapinzani tunawaacha mbali.
 
Kuna wimbi la mashabiki, wachambuzi na wadau wa soka wakihoji uhalali wa goli la tano. Kwa wenzetu walioendelea mambo kama haya yameshapitwa na wakati ila kwa nchi zetu za kimasikini bado tumeshindwa kuendana na teknolojia. j

Watu tumepiga kelele sana humu juu ya uchache wa camera za Azam, lile tukio kwa vituo vilivyopiga hatua huwa wanajaribu kuangalia angle sahihi ya kuonesha position ya mpira kama ulivuka mstari au ulikuwa nje ya mstari ila Azam wana replay, replay tu pasipo kuzingatia angle sahihi inayoweza kuondoa utata na watu wote wakaondoka na jibu moja kuwa eidha mpira ulikuwa nje au mpira ulikuwa upo ndani.

Kuna matukio mengine ya mfano offside, Azam bado wanashindwa kututendea haki watazamaji wake kwa kufanya replay kwa kutumia angle sahihi kisha wakachora mstari wa offside position ili watazamaji waondoke na jibu moja kulingana na marejeo. Badala yake wataonesha marejeo isiyo na angle sahihi kisha mtazamaji apime kwa macho yake kama mchezaji kazidi au lah.

Tunaomba msimu unaokuja Azam muende na wakati, mmefanya makubwa katika kui brand ligi yetu na kuifanya ifatiliwe na watu wa mataifa tofauti tofauti hivyo ni wakati wa kwenda sambamba na ukuaji wa teknolojia, angalieni supersport, kukiwa na utata wa mpira kuvuka au kutovuka goal line wanavyofanya replay inayomaliza utata kabisa pale pale mchezoni. Unaona kabisa position ya mpira pale pale uliopo mstari tena tukio linachukuliwa kwa ukaribu kabisa.

Lakini tukio la jana kila mtu kaondoka na jibu lake, wengine goli wengine sio goli hiyo yote inatokana na Azam kushindwa kuondoa utata wa tukio.

Hii chini ni moja ya video inaonesha ule mpira uliingia ndani, lakini bado video haikuwa na kiwango cha kufuta utata kivile.
View attachment 2932460
Kama kungekuwa na VAR ndiyo tungepata jibu, lakini camera za Azam hazina uhalali wa kukubali au kukataa hukumu ya muamuzi wa mpira, hivyo tujipange kutumia teknolojia ya VAR, ili nasi twende na wakati.
 
Kama kungekuwa na VAR ndiyo tungepata jibu, lakini camera za Azam hazina uhalali wa kukubali au kukataa hukumu ya muamuzi wa mpira, hivyo tujipange kutumia teknolojia ya VAR, ili nasi twende na wakati.
Sijaongelea uhalali wa kukubali au kukataa goli bali tunapoangalia mpira, inatakiwa watazamaji waondoke na jibu moja. Ukiangalia mechi za supersport japo hakuna VAR lakini watazamaji wanapata kuona tukio kwa usahihi zaidi kwa uthibitisho hivyo wote wanaondoka kwenye luninga wakijua ile ilikuwa ni offside au ule mpira ulikuwa umevuka goal line.
 
Kuna wimbi la mashabiki, wachambuzi na wadau wa soka wakihoji uhalali wa goli la tano. Kwa wenzetu walioendelea mambo kama haya yameshapitwa na wakati ila kwa nchi zetu za kimasikini bado tumeshindwa kuendana na teknolojia.

Watu tumepiga kelele sana humu juu ya uchache wa camera za Azam, lile tukio kwa vituo vilivyopiga hatua huwa wanajaribu kuangalia angle sahihi ya kuonesha position ya mpira kama ulivuka mstari au ulikuwa nje ya mstari ila Azam wana replay, replay tu pasipo kuzingatia angle sahihi inayoweza kuondoa utata na watu wote wakaondoka na jibu moja kuwa eidha mpira ulikuwa nje au mpira ulikuwa upo ndani.

Kuna matukio mengine ya mfano offside, Azam bado wanashindwa kututendea haki watazamaji wake kwa kufanya replay kwa kutumia angle sahihi kisha wakachora mstari wa offside position ili watazamaji waondoke na jibu moja kulingana na marejeo. Badala yake wataonesha marejeo isiyo na angle sahihi kisha mtazamaji apime kwa macho yake kama mchezaji kazidi au lah.

Tunaomba msimu unaokuja Azam muende na wakati, mmefanya makubwa katika kui brand ligi yetu na kuifanya ifatiliwe na watu wa mataifa tofauti tofauti hivyo ni wakati wa kwenda sambamba na ukuaji wa teknolojia, angalieni supersport, kukiwa na utata wa mpira kuvuka au kutovuka goal line wanavyofanya replay inayomaliza utata kabisa pale pale mchezoni. Unaona kabisa position ya mpira pale pale uliopo mstari tena tukio linachukuliwa kwa ukaribu kabisa.

Lakini tukio la jana kila mtu kaondoka na jibu lake, wengine goli wengine sio goli hiyo yote inatokana na Azam kushindwa kuondoa utata wa tukio.

Hii chini ni moja ya video inaonesha ule mpira uliingia ndani, lakini bado video haikuwa na kiwango cha kufuta utata kivile.
View attachment 2932460
mwamuzi wa kati na wa pembeni ni wasenge maana kama hauna uhakika unaletaje mpira kati??, utopolo wamekuja kuanza kushangilia baada ya mwamuzi kuonesha twende kati.

hii mechi ilikuwa na maagizo, eti aziz k na pacome wanagombania mpira wachezaji wa ihefu wanawaangalia tuu. mamaeeeee
 
Tuliposema juu ya mechi ya Simba na Geita kuhusu goli lililokataliwa mlipiga kelele, kwa kifupi Azam anazingua.
 
mwamuzi wa kati na wa pembeni ni wasenge maana kama hauna uhakika unaletaje mpira kati??, utopolo wamekuja kuanza kushangilia baada ya mwamuzi kuonesha twende kati.

hii mechi ilikuwa na maagizo, eti aziz k na pacome wanagombania mpira wachezaji wa ihefu wanawaangalia tuu. mamaeeeee
Leta timu lako
 
mwamuzi wa kati na wa pembeni ni wasenge maana kama hauna uhakika unaletaje mpira kati??, utopolo wamekuja kuanza kushangilia baada ya mwamuzi kuonesha twende kati.

hii mechi ilikuwa na maagizo, eti aziz k na pacome wanagombania mpira wachezaji wa ihefu wanawaangalia tuu. mamaeeeee
Haya, hilo moja liondolewe haina shida. IHEFU ingepata point 3? Wewe usie msenge mbona si refa?

Young wanacheza,young wanafunga, punguzeni jazba. 5G yenu bado ni kama imechezwa jana,ipangwe mechi nyingine tena.
 
Upo sahihi, goli kama lile la jana ukiachana na Camera positioning ndio tunakuja kuona Umuhimu wa VAR , pale huwezi kumlaumu refa., Kwa Azam media shida inaweza isiwe vifaa ila wataalamu hawana ujuzi wa kutosha, wawape hata tour ya kimafunzo kwenda hata Saudi hapo wajifunze kwa wenzao
Sisi mashabiki wa Yanga goli tano ni incentives tu kwa furaha yetu lakini sio malengo , kikubwa point ni tatu na wapinzani tunawaacha mbali.
Sio VAR ni goal technology mpira ukiingia tuu saa ya Refa inavibrate
 
Upo sahihi, goli kama lile la jana ukiachana na Camera positioning ndio tunakuja kuona Umuhimu wa VAR , pale huwezi kumlaumu refa., Kwa Azam media shida inaweza isiwe vifaa ila wataalamu hawana ujuzi wa kutosha, wawape hata tour ya kimafunzo kwenda hata Saudi hapo wajifunze kwa wenzao
Sisi mashabiki wa Yanga goli tano ni incentives tu kwa furaha yetu lakini sio malengo , kikubwa point ni tatu na wapinzani tunawaacha mbali.
Upo sahihi mkuu
 
Lawama ziende TFF wanatakiwa waboreshe ligi upande wa technology, waende hata kuomba msaada fifa, Kuna saa za kudetect kama goli limeingia au... Na waweke mipango ya Kuja na var hata kama ni miaka 10 mbele

Azam hapa unawalaumu Nini sasa? Hata kama camera zingeonesha vipi refa alishawaita watu kati
 
Bwana weeh pale hakukuwa na goli unawalaumu azam bure tu,refa anaita kati mpira umedunda nje ya mstari
 
Sijaongelea uhalali wa kukubali au kukataa goli bali tunapoangalia mpira, inatakiwa watazamaji waondoke na jibu moja. Ukiangalia mechi za supersport japo hakuna VAR lakini watazamaji wanapata kuona tukio kwa usahihi zaidi kwa uthibitisho hivyo wote wanaondoka kwenye luninga wakijua ile ilikuwa ni offside au ule mpira ulikuwa umevuka goal line.
Sawa nimekuelewa lakini pia ukiangalia live hakuna marudio ila wenye kuangalia kupitia runinga ndiyo wenye kuonyeshwa marudio ya matukio.
 
mwamuzi wa kati na wa pembeni ni wasenge maana kama hauna uhakika unaletaje mpira kati??, utopolo wamekuja kuanza kushangilia baada ya mwamuzi kuonesha twende kati.

hii mechi ilikuwa na maagizo, eti aziz k na pacome wanagombania mpira wachezaji wa ihefu wanawaangalia tuu. mamaeeeee
Uliwasiliana na waamuzi wakakuambia hawakua na uhakika kama lile ni goli mkuu
 
Kuna wimbi la mashabiki, wachambuzi na wadau wa soka wakihoji uhalali wa goli la tano. Kwa wenzetu walioendelea mambo kama haya yameshapitwa na wakati ila kwa nchi zetu za kimasikini bado tumeshindwa kuendana na teknolojia.

Watu tumepiga kelele sana humu juu ya uchache wa camera za Azam, lile tukio kwa vituo vilivyopiga hatua huwa wanajaribu kuangalia angle sahihi ya kuonesha position ya mpira kama ulivuka mstari au ulikuwa nje ya mstari ila Azam wana replay, replay tu pasipo kuzingatia angle sahihi inayoweza kuondoa utata na watu wote wakaondoka na jibu moja kuwa eidha mpira ulikuwa nje au mpira ulikuwa upo ndani.

Kuna matukio mengine ya mfano offside, Azam bado wanashindwa kututendea haki watazamaji wake kwa kufanya replay kwa kutumia angle sahihi kisha wakachora mstari wa offside position ili watazamaji waondoke na jibu moja kulingana na marejeo. Badala yake wataonesha marejeo isiyo na angle sahihi kisha mtazamaji apime kwa macho yake kama mchezaji kazidi au lah.

Tunaomba msimu unaokuja Azam muende na wakati, mmefanya makubwa katika kui brand ligi yetu na kuifanya ifatiliwe na watu wa mataifa tofauti tofauti hivyo ni wakati wa kwenda sambamba na ukuaji wa teknolojia, angalieni supersport, kukiwa na utata wa mpira kuvuka au kutovuka goal line wanavyofanya replay inayomaliza utata kabisa pale pale mchezoni. Unaona kabisa position ya mpira pale pale uliopo mstari tena tukio linachukuliwa kwa ukaribu kabisa.

Lakini tukio la jana kila mtu kaondoka na jibu lake, wengine goli wengine sio goli hiyo yote inatokana na Azam kushindwa kuondoa utata wa tukio.

Hii chini ni moja ya video inaonesha ule mpira uliingia ndani, lakini bado video haikuwa na kiwango cha kufuta utata kivile.
View attachment 2932460

Second ball imeangukia miguuni kwa Zidane wa ,, refa akaona tusipoteze muda njoon kati walima mpunga
 
Back
Top Bottom