utartibu wa kuacha kazi serikalini upoje?

kashonzo

Member
Jan 1, 2013
26
3
mm mtumishi ktk halmashauri tang 2007 nataka kuacha kazi wkt huo nilipwe h@ki zangu, ni fanyeje?
 
hakuna uwezekano huo, kama sababu zako ni za kawaida Bt better kama unarefa Kada ya Sheria anaweza akakusaidia Bcoz wthout idhbati za Kidaktari na Kisheria hauwezi kustafishwa kwa manufaa ya Umma!
 
Unaweza kuacha kazi muda wowote unaotaka
Pia Mwajiri anaweza kukuachisha kazi wakati
wowote anavyoona inafaa.

Kitu cha kufanya ndg ni kimoja tu unaweza
kutoa notes ya masaa 48,pia utatakiwa
kurudisha mshahara wa mwezi mmoja
uliofanya kazi.


Hao wengine wanakutisha tu maana hata
wakati unaajiriwa fomu yako ya ajira huwa
iko bayana kuhusu kuacha/kuachishwa kazi

Suala liko kwenye mambo ya msingi ya ajira
yako,onana na wanasheria ila ni haki yako.
 
utastahili kulipwa fao la kujitoa, ambalo lilileta utata sana hivi karibuni,
fao la kujitoa kwenye mifuko mingi ,wewe unasema upo halmashauri
huko halmashauri kuna watumishi wanachangia PSPF na wengine LAPF.
kwa PSPF Fao la kujitoa kwa yeyote ambaye amechangia chini ya miezi 180 atalipwa
jumla ya michango yake pamoja na jumla ya michango aliyochanga mwajiri.
LAPF sina uhakika lakini nao nadhani watakuwa wanalipa hivyohivyo.
 
Back
Top Bottom