Mkuu kama utapata hii na mimi nipo interested piaWakuu naomba msaada kwa yoyote mwenye uzoefu na uendeshaji wa dispensary ama maabara.Ningependa kujua kila kitu kuhusu hii industry .
CHANGAMOTO ZAKE
UENDESHAJI WAKE
MAPATO YAKE
NA USAJILI.
Uko mkoa gani na wilaya gani?Sina ujuzi wala utaalam,ila naitaji kufungua zahanati yangu binafsi na kuajiri watu, nianzie wapi ili niweze kutimiza masharti na matakwa yote ili nitimize lengo,au nianzie wapi. Msaada tafadhari
Mkuu umu kumbe kuna madoktaNi DISPENSARY wala si DISPENCERY kama ulivoandika, andika collectly ili uonekane kuwa upo serious na kitu unachotarajia kufanya otherwise tutakuona na mzushi unayepima kina cha maji kwa kujifanya unataka kufungua DISPENSARY, makosa madogo kama hayo ndio ambayo yanaweza kukufanya ukampatia mtu dawa tofauti na ugonjwa anaoumwa, otherwise wish you all the best in your plans to open the DISPENCERY.
Na je vp kuhusu laboratory ya kuanzia unatakiwa uwe na machine zipi?Habari wakuu,
Kuna swali limeulizwa Mara kadhaa na wadau katik huu uzi naomba mwenye uelewa atusaidie kujibu maana tupo wengi:
Kuanzisha Biashara ya Maabara ya Binadamu:
1. Mtaji wake kiasi gani?
2. Vifaa muhimu vinavyotakiwa na bei zake
3. Wafanyakazi wanaotakiwa na ujuzi wao
4. Muundo wa Jengo LA Maabara
5. Vibali na taratibu za kuanzisha
6. Changamoto na lolote muhimu la kujua juu ya hii biashara
Karibuni tusaidine, biashara hii bado ni fursa kubwa maeneo mengi sana kwani serikali pekee bado haijaweza.
Kwa zahanati, unatakiwa uwe na darubin (microscope) binocular ya umeme, centrifuge, slides kama50-100, hata oven ndogo, urine analysis machine, gluco plus, na mashine ya kupima Hb, PB machine at mbili, stretescope 2, Weighing scale.Na je vp kuhusu laboratory ya kuanzia unatakiwa uwe na machine zipi?
naomba kama hutojali mawasiliano na wewe kwa msaada zaidi kama nitakwama sehemu na ushauri piaKwa zahanati, unatakiwa uwe na darubin (microscope) binocular ya umeme, centrifuge, slides kama50-100, hata oven ndogo, urine analysis machine, gluco plus, na mashine ya kupima Hb, PB machine at mbili, stretescope 2, Weighing scale.
Check kwenye PM.naomba kama hutojali mawasiliano na wewe kwa msaada zaidi kama nitakwama sehemu na ushauri pia
Naomba nitafte kwa namb yng nashida n ww 0763026199Mkuu asante sana. Nimeanza mchakato huu, tayari nimeanza kununua vifaa.
Nenda TFDA, MGANGA MKUU WA WILAYA, MGAGA MKUU WA MKOA UTAPATA MAELEKEZOAnaefahamu namna ya kuanzisha maabara na mahitaji yake please anisaidie