Fubu G
Senior Member
- Oct 7, 2012
- 110
- 18
Leo majira ya saa 10:54 AM nimetumiwa massage na no. 0719734458 ikisema hivi:
Hello, am Mr. Stephen from BRELICS LTD Dar, Tupo kikaoni tunapitia CV za kuinterview for HUMAN RESOURCE POST, your cv is good nataka tufanye deal. ntakusaidia upate kazi hii kwa masharti yafuatayo, salary ni 1.2Million ukipata salary ya kwanza utanipa laki 3, na kabla ya saa 10 jioni uwe umetuma sh. Elfu 40 by tigopesa kwenda namba hiihii, ili nimpe mtu wa interview atanipa maswali then ntakutumia kwenye email, amesema anataka hiyo hela leoleo, utapigiwa simu nikitoka kikaoni lini uje for interview, jitahidi utume hiyo hela mapema.
Majibu Yangu kwa Mr. stephen ( kwa hasira na kiingereza cha kuunga).
"thanx for your kindness! But as an interrectual administrator I can not do such stupid thing! First, the salary scale you mentioned is irrelevent! Make screening whatever you like if you will not consider me as a suitable candidate fu**k :rockon: yourself haaaaa haaaa haaaa.
Ushauri: Tuwe makini tunaotafuta kazi mitandaoni kwani tangazo la hawa mbwiga nililiona Zoom tanzania so kama nisingekua makini nadhani Elfu 40 zingeondoka kirahisi tu.ukizingatia Elimu tuliyoipata tumeipata kwa ghalama kubwa sana hvyo tuitumie katika tambuzi mbalimbali ili hawa jamaaa washindwe kwa jina la Mungu.
Hello, am Mr. Stephen from BRELICS LTD Dar, Tupo kikaoni tunapitia CV za kuinterview for HUMAN RESOURCE POST, your cv is good nataka tufanye deal. ntakusaidia upate kazi hii kwa masharti yafuatayo, salary ni 1.2Million ukipata salary ya kwanza utanipa laki 3, na kabla ya saa 10 jioni uwe umetuma sh. Elfu 40 by tigopesa kwenda namba hiihii, ili nimpe mtu wa interview atanipa maswali then ntakutumia kwenye email, amesema anataka hiyo hela leoleo, utapigiwa simu nikitoka kikaoni lini uje for interview, jitahidi utume hiyo hela mapema.
Majibu Yangu kwa Mr. stephen ( kwa hasira na kiingereza cha kuunga).
"thanx for your kindness! But as an interrectual administrator I can not do such stupid thing! First, the salary scale you mentioned is irrelevent! Make screening whatever you like if you will not consider me as a suitable candidate fu**k :rockon: yourself haaaaa haaaa haaaa.
Ushauri: Tuwe makini tunaotafuta kazi mitandaoni kwani tangazo la hawa mbwiga nililiona Zoom tanzania so kama nisingekua makini nadhani Elfu 40 zingeondoka kirahisi tu.ukizingatia Elimu tuliyoipata tumeipata kwa ghalama kubwa sana hvyo tuitumie katika tambuzi mbalimbali ili hawa jamaaa washindwe kwa jina la Mungu.