Pure nomaa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 1,158
- 1,382
Mmakonde>>atakulisha panya ukadhani kuku wa kienyeji
Mchaga>>atakuuwa ili arithi mali
Mmasai>>ukitoka tu mwenzako anachomeka mkuki nje anaingia ndani kupiga mzigo
Mfipa>>atakuwekea limbwata uwe mume ***** hata kazini usiende
Mhaya>>atakuletea ngoma,ukiweza unamalizia vifaa vilivyobakia mnafungua bendi
Mhehe>>ukimkorofisha kidogo tu,utamkuta kajinyonga
Msambaa>>achelewi kukuomba utumie mtandao wa tigo
Mzaramo>>ikipita ngoma tu ujue siku hiyo utashinda njaa
mkurya>>atakupa murder case,maana bila kumpiga ataona humpendi
utaoa yupi?
Mchaga>>atakuuwa ili arithi mali
Mmasai>>ukitoka tu mwenzako anachomeka mkuki nje anaingia ndani kupiga mzigo
Mfipa>>atakuwekea limbwata uwe mume ***** hata kazini usiende
Mhaya>>atakuletea ngoma,ukiweza unamalizia vifaa vilivyobakia mnafungua bendi
Mhehe>>ukimkorofisha kidogo tu,utamkuta kajinyonga
Msambaa>>achelewi kukuomba utumie mtandao wa tigo
Mzaramo>>ikipita ngoma tu ujue siku hiyo utashinda njaa
mkurya>>atakupa murder case,maana bila kumpiga ataona humpendi
utaoa yupi?