Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Ni punguani tu ndiye anayeweza kupoteza muda kulinganisha kiongozi aliyekuwa na maono na kiongozi aliyekiri waziwazi kuwa hafahamu kwa nini nchi yake ni maskini. Watakaokwazwa na thread hii wanisamehe.