gwendoline mushi
Member
- Mar 16, 2012
- 23
- 2
Kuna mwanaume anamke wake mzuri sana .mwanaume huyu yeye haishi kusifia wanawake kwenye internet na kuomba namba za simu. Na kuwaita Majina dear.
sasa mkewe inamuuna coz mume wake huwa hamsifii hata km kapendeza la na akijiangalia wale wanao sifiwa internet amewapita.
Anaumia sana anashindwa kuelewa shida ni nini?Na anamtimizia mahitaji yote km mwanamke anayotakiwa kumpa mumeo
Ushauri jamani coz hajamwambia mme wake alifuma hizo sms kwenye Internet(laptop ) mume alisahau ku logout .
sasa mkewe inamuuna coz mume wake huwa hamsifii hata km kapendeza la na akijiangalia wale wanao sifiwa internet amewapita.
Anaumia sana anashindwa kuelewa shida ni nini?Na anamtimizia mahitaji yote km mwanamke anayotakiwa kumpa mumeo
Ushauri jamani coz hajamwambia mme wake alifuma hizo sms kwenye Internet(laptop ) mume alisahau ku logout .