bahati93
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 1,141
- 2,020
Nimekuwa nikifatilia kwa makini harakati za Kenya kuipatia vibali kampuni ya Starlink kuanza kufanya kazi nchini humo, mwaka huu mtandao wa Starlink utaanza kufanya kazi. kwa masikitiko makubwa sijasikia lolote kutoka TCRA tangu mara ya mwisho kusikia kampuni hio kuomba vibali.
Nashangaa kwa nini watanzania tunasua kutoa vibali wakati technologia ya Starlink iko poa sana na shughuli za utalii.
Sasa tunabaki nyuma kwa mara nyingine tena.
Nashangaa kwa nini watanzania tunasua kutoa vibali wakati technologia ya Starlink iko poa sana na shughuli za utalii.
Sasa tunabaki nyuma kwa mara nyingine tena.