MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Ndugu zangu nisaidieni ni dalili zipi ambazo zitakufanya ujue mwenzio anakutumia tu (hana mapenzi ya dhati na wewe?)
Nimeuliza hivyo kwa kuwa naanza kumhisi mtu wangu ndivyo sivyo sasa sijui ana kidosho kingine au ana sababu zake but recently nimegundua yafuatayo
1. Simu yake ni yake na haeshi kubofya akituma sms
2. Hununa bila sababu but atacheka na kukufurahia akisikia kuwa ninategemea kupata pesa flani toka mahali
3. Mshahara wangu mimi ni wake anataka ajue every bit ulivyotumia
4. Ikihappen akaona salary slip then baada ya muda akiuliza ukamwambia zimebaki kiasi flani ananuna.
Ninahisi natumiwa au namjudge vibaya please kama kuna dalili nyingine naombeni kabla sijachukua uamuzi.
Nimeuliza hivyo kwa kuwa naanza kumhisi mtu wangu ndivyo sivyo sasa sijui ana kidosho kingine au ana sababu zake but recently nimegundua yafuatayo
1. Simu yake ni yake na haeshi kubofya akituma sms
2. Hununa bila sababu but atacheka na kukufurahia akisikia kuwa ninategemea kupata pesa flani toka mahali
3. Mshahara wangu mimi ni wake anataka ajue every bit ulivyotumia
4. Ikihappen akaona salary slip then baada ya muda akiuliza ukamwambia zimebaki kiasi flani ananuna.
Ninahisi natumiwa au namjudge vibaya please kama kuna dalili nyingine naombeni kabla sijachukua uamuzi.