Utajuaje kuwa anakupenda au anakutumia tu....?

MwanajamiiOne

Platinum Member
Jul 24, 2008
10,470
6,563
Ndugu zangu nisaidieni ni dalili zipi ambazo zitakufanya ujue mwenzio anakutumia tu (hana mapenzi ya dhati na wewe?)

Nimeuliza hivyo kwa kuwa naanza kumhisi mtu wangu ndivyo sivyo sasa sijui ana kidosho kingine au ana sababu zake but recently nimegundua yafuatayo

1. Simu yake ni yake na haeshi kubofya akituma sms
2. Hununa bila sababu but atacheka na kukufurahia akisikia kuwa ninategemea kupata pesa flani toka mahali
3. Mshahara wangu mimi ni wake anataka ajue every bit ulivyotumia
4. Ikihappen akaona salary slip then baada ya muda akiuliza ukamwambia zimebaki kiasi flani ananuna.

Ninahisi natumiwa au namjudge vibaya please kama kuna dalili nyingine naombeni kabla sijachukua uamuzi.
 
Ebwana before ujatoa maoni kuhusu hiyo issue ni bora MJ utujulishishe huyo ni mwanandoa wako au bfriend tu? Nia ya mwanandoa na Bfriend hazifanani kabisa
 
Lakini pia inawezekana mwenzi wako ametambuwa kwamba kipindi hiki ni cha mtikisiko wa uchumi, so anaamua kufuatilia up to the last penny. Ndo maana akisikia inflow anashangilia coz under this economic meltdown, cash inflow ni bonge la good news MJ1!
 
Lakini pia inawezekana mwenzi wako ametambuwa kwamba kipindi hiki ni cha mtikisiko wa uchumi, so anaamua kufuatilia up to the last penny. Ndo maana akisikia inflow anashangilia coz under this economic meltdown, cash inflow ni bonge la good news MJ1!

Brooklyn,
You have made my day maana nimecheka sana baada ya kuwa very serious the whole day.
Sasa kama anashangilia cashflow ya MJ1 pale anaposikia king'ora cha ushindi kama kwenye kamari, na yeye je ya kwake inatoa au??
Tusubiri Mj1 atujuze

Samahani Mj1 usikasirike kwa vile tumetaka kujua undani zaidi ili tukupe maoni yetu.
 
Ndugu zangu nisaidieni ni dalili zipi ambazo zitakufanya ujue mwenzio anakutumia tu (hana mapenzi ya dhati na wewe?)

Nimeuliza hivyo kwa kuwa naanza kumhisi mtu wangu ndivyo sivyo sasa sijui ana kidosho kingine au ana sababu zake but recently nimegundua yafuatayo

1. Simu yake ni yake na haeshi kubofya akituma sms
2. Hununa bila sababu but atacheka na kukufurahia akisikia kuwa ninategemea kupata pesa flani toka mahali
3. Mshahara wangu mimi ni wake anataka ajue every bit ulivyotumia
4. Ikihappen akaona salary slip then baada ya muda akiuliza ukamwambia zimebaki kiasi flani ananuna.

Ninahisi natumiwa au namjudge vibaya please kama kuna dalili nyingine naombeni kabla sijachukua uamuzi.


swity ukimjibu WOS ndio 2tapata upanuzi wa kukujibu vizuri, hapo pengine ningekushauri ucpende kujihusisha napo sana, ndio mwanzo wa headache, kila mmoja ahucke na cm yake.
 
mnahisigi mengi eeh, eti fidel?

Yaani we acha tu kama huyo amesema cmu yake haiguswi ni bora abaki hivyo hivyo hata mimi nikiwa na g/f cmu yake sigusi kabisa nikupeana presha tu mi yake sigusi na yangu hagusi.
 
Yaani we acha tu kama huyo amesema cmu yake haiguswi ni bora abaki hivyo hivyo hata mimi nikiwa na g/f cmu yake sigusi kabisa nikupeana presha tu mi yake sigusi na yangu hagusi.

Wewe ni mmoja wa wanaume wachache wenye msimamo huu.Wengi watataka kupekuwa simu za wake/wapenzi wao ila zao usiguse!
 
Wewe ni mmoja wa wanaume wachache wenye msimamo huu.Wengi watataka kupekuwa simu za wake/wapenzi wao ila zao usiguse!


Mi kwakeli siwezi pekua simu ya mtu ambaye nipo nae najua athari zake na ugomvi mwingi siku hizi kati ya watu wapenda nao ni simu.
 
1. Simu yake ni yake na haeshi kubofya akituma sms

...anakuzingua tu, huenda anatumia calculator au anacheza games kwenye simu yake, usinune!

2. Hununa bila sababu but atacheka na kukufurahia akisikia kuwa ninategemea kupata pesa flani toka mahali

...anachekelea wewe kujiwezesha 'kiuchumi'

3. Mshahara wangu mimi ni wake anataka ajue every bit ulivyotumia

...ndio tatizo kuoana na wahasibu!

4. Ikihappen akaona salary slip then baada ya muda akiuliza ukamwambia zimebaki kiasi flani ananuna.

...ndio, karaha zao ma auditors hiyo!

Ninahisi natumiwa au namjudge vibaya please kama kuna dalili nyingine naombeni kabla sijachukua uamuzi.

...hapana, wala usijikondeshe. Uamuzi wa busara ni kumpa risiti zote za matumizi, muache ajiumize kichwa kubalance mapato na matumizi ya mwezi mzima na hata mwaka mzima akitaka.
 
Ndugu zangu nisaidieni ni dalili zipi ambazo zitakufanya ujue mwenzio anakutumia tu (hana mapenzi ya dhati na wewe?)

Nimeuliza hivyo kwa kuwa naanza kumhisi mtu wangu ndivyo sivyo sasa sijui ana kidosho kingine au ana sababu zake but recently nimegundua yafuatayo

1. Simu yake ni yake na haeshi kubofya akituma sms
2. Hununa bila sababu but atacheka na kukufurahia akisikia kuwa ninategemea kupata pesa flani toka mahali
3. Mshahara wangu mimi ni wake anataka ajue every bit ulivyotumia
4. Ikihappen akaona salary slip then baada ya muda akiuliza ukamwambia zimebaki kiasi flani ananuna.

Ninahisi natumiwa au namjudge vibaya please kama kuna dalili nyingine naombeni kabla sijachukua uamuzi.


Shoga huyo hata kama ni bf au mume HAFAI!

1. Akibofya ya kwake na wewe chukua yako ubofyebofye
2. Hiyo ni dalili tosha ya userengeti boy...halafu usipende sana kumhusisha mwanamme kwenye madilii yako. Heri sema umekopa pesa hata kama ni zako.
3. Hapa no way...unless na yeye wake unaujua everbit...otherwise stop that.
4 Salary sleep tafuta vile vibox vya chuma vya petty cash weka salary slip zako huko na uzifungia kwenye kabati lako offisini...unless na wewe unaona mshahara wako basi endelea kufunulia aendelee kununa.

Kweli unatumiwa na inaonekana pengine umezimia mapigo ndo maana yote haya yamekutokea. It happened to me once na nilijivundisha...baada ya kufilisiwa kabisaaa...so dont end up like me. All the best
 
Ebwana before ujatoa maoni kuhusu hiyo issue ni bora MJ utujulishishe huyo ni mwanandoa wako au bfriend tu? Nia ya mwanandoa na Bfriend hazifanani kabisa

Brook huyu ni mwenzi ambaye tuko naye kwenye serious relationship (or what seems to be as one) ninayetarajia kufunga naye ndoa katikati ya mwaka huu. Bahati mbaya tulianza kwa kuvutana tu tukajihalalishia.
 
Brook huyu ni mwenzi ambaye tuko naye kwenye serious relationship (or what seems to be as one) ninayetarajia kufunga naye ndoa katikati ya mwaka huu. Bahati mbaya tulianza kwa kuvutana tu tukajihalalishia.

Wa maanisha nini, fafanua sentesi zako vizuri upate msaada mzuri kwa manufaa yako.
 
Mwanamme akianza mambo ya kuomba omba hela achana naye. Wanaumme wengi sikuhizi hamna aibu tena, kuchomoa tuu wanawake, halafu anatunisha mabega juu. Kama yeye hashirikishi kwenye mambo ya hela zake, usimshirikishe kabisa kuhusu yako.
 
Ni Mtu ambaye tunatarajia kufunga ndoa rasmi July 2009. !!


...Oooh, kumbe ni mume mtarajiwa!

ushauri wa bure,...huenda vyote ulivyotaja ni vijitabia ambavyo huyo fiancee wako alikuwa amevifumbia macho. Kadri mnavyoelekea kwenye 'pingu za maisha', kidogo kidogo anaanza kukuonyesha nini anapendelea na nini hapendelei.

Si kitu mbaya Yeye kukuonyesha hayo, ni bora yule anayekuonyesha anajali, kuliko yule ambaye hakuonyeshi ishara zozote halafu siku ya siku anakuja kung'aka kwa jinsi ulivyomtumiaji vibaya hela ya familia.

Nawe kama hupendezwi na hiyo mobile fone, mwambie na mapeeeema, asije huko mbele ya safari akajakwambia, "mbona kabla sijakuoa hukulisema hilo?"

Ndoa raha, ...ukishamjua mtu wako, mambo yake yanakuwa transparent kama chandarua vile :)
 
Ndugu zangu nisaidieni ni dalili zipi ambazo zitakufanya ujue mwenzio anakutumia tu (hana mapenzi ya dhati na wewe?)

Nimeuliza hivyo kwa kuwa naanza kumhisi mtu wangu ndivyo sivyo sasa sijui ana kidosho kingine au ana sababu zake but recently nimegundua yafuatayo

1. Simu yake ni yake na haeshi kubofya akituma sms
2. Hununa bila sababu but atacheka na kukufurahia akisikia kuwa ninategemea kupata pesa flani toka mahali
3. Mshahara wangu mimi ni wake anataka ajue every bit ulivyotumia
4. Ikihappen akaona salary slip then baada ya muda akiuliza ukamwambia zimebaki kiasi flani ananuna.

Ninahisi natumiwa au namjudge vibaya please kama kuna dalili nyingine naombeni kabla sijachukua uamuzi.

sijajua uko upande gani wa jinsia. mimi niko upande wa kiume. kuna mshkaji wangu kanipa stori jana eti kuna jamaa alikuwa na demu wake. sasa siku moja jamaa akachukua simu ya demu wake akajibip, la haula wa lakuwataa!! jina likatokea eti ATM! gelo frend wako anakusevu hivyo kwenye simu yake! enewei, matendo yataonyesha kama unatumiwa au mnapendana
 
Back
Top Bottom