NEBASA
Member
- Feb 17, 2024
- 15
- 17
Ndugu zangu?
Kuna wakati napitia mitihani mingi sana hadi naanza kujiuliza kuna sehemu nilikosea natakiwa kurekebisha au Mungu kaamua kunipa hiki kikombe nikinywe?
Swali gumu ni kwamba nitajuaje kama ni mitihani ya kawaida ya Mungu au ni mabalaa na mikosi imetengenezwa na wanadamu maana kuna wakati tunazungukwa na maadui ambao hata hatuwajui na je kama Mungu kaamua iwe hivo natakiwa kufanyaje na kama kuna vibweka nafanyiwa natakiwa kufanyaje?
Maana sio kawaida kila mchongo ukijaribu unapaa kila ukigusa hiki hakikai inafika wakati hata sh.100 ya kununulia maji ya kuoga inakosekana na upo aridhi ya ugenini ehee mora
Kuna wakati napitia mitihani mingi sana hadi naanza kujiuliza kuna sehemu nilikosea natakiwa kurekebisha au Mungu kaamua kunipa hiki kikombe nikinywe?
Swali gumu ni kwamba nitajuaje kama ni mitihani ya kawaida ya Mungu au ni mabalaa na mikosi imetengenezwa na wanadamu maana kuna wakati tunazungukwa na maadui ambao hata hatuwajui na je kama Mungu kaamua iwe hivo natakiwa kufanyaje na kama kuna vibweka nafanyiwa natakiwa kufanyaje?
Maana sio kawaida kila mchongo ukijaribu unapaa kila ukigusa hiki hakikai inafika wakati hata sh.100 ya kununulia maji ya kuoga inakosekana na upo aridhi ya ugenini ehee mora