Huu utafiti kama umeufanya kwenye makabila yafuatayo:-
1.wazaramo
2.wakerewe/wajita
3.wahaya
4.wanyamwezi na
5.wasambaa, utakuwa uko sahihi, nipo tayari kukosolewa
mbona hujaja na majibu yaloshiba ktk tafiti yako naona bado uko kwenye introduction em endelea
Kumbuka una dada, mama
Huo sio utafiti, ni fikra zako mbovu.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums