wewe ndio kilaza. Richmond ipi au hujui ndio inaitwa symbion na obama alivyokuja alikwwnda kuizindua. Ingekuwa mibovu angeenda? Kwa taarifa yako ile mitambo ni ya kikwete na rostam. Lowassa walimwangushia jumba bivu coz ndie alikuwa waziri mkuu. Hujiulizi kwanini yale maazimio ya bunge baada ya kujiuzulu lowassa yaliishia pale pale? Kwanini wasimkate kama kweli ni muusika.
umezungumza point sana mkuu