Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,935
- 5,558
hizo tafiti zinazofanywa na makada wa ccm hatuna imani nazo watanzania hawawezi kumchagua Lowasa hata kukimbia mitaa 100 hawawezi wa nini sasa huyuCCM ni chama cha kisasa na matumizi ya tafiti ni mfumo wa kisasa katika siasa.
tunataka umpinge Lowassa kwa matokeo ya tafiti na siii kelele za UKAWA zikutishe