Utafiti: Coca-Cola/Pepsi zaweza kusababisha KANSA!

kichwat

JF-Expert Member
Mar 4, 2010
1,819
587
Matokeo ya utafiti uliofanywa nchini Marekani na maabara ya Centre for Science in the Public Interest (CSPI) yanaonesha moja ya viungo vinavyotumika kutengenezea Coca-cola na Pepsi kiitwacho caramel flavouring 4-methylimidazole (4-MEL) kinaweza kukusababishia kansa. Lakini kampuni ya Coca-cola imekataa matokeo hayo.
Tayari Waziri wa Viwanda na Biashara nchini Msumbiji ameagiza wataalam wa wizara yake na kampuni ya Coca-cola kufuatilia matokeo hayo ya CSPI ili ukweli uwekwe wazi kulinda afya za wananchi wa Msumbiji.

Mlaji kaa chonjo.

  • CSPI found that the cans of Coke and Pepsi it sampled contained between 103 and 153 micrograms of 4-MEL. The California cancer warning label would be obligatory on cans with above 29 micrograms of the substance.

Taarifa kamili: allAfrica.com: Mozambique: Coca-Cola Denies Cancer Claim
 
Unajua hizo soda mbili zina utata muda!Mara zinatoa kutu mara add?
 
Mim huwa zinanisaidia sana pindi nitengenezapo gari na kukutana na tatizo la carbon/uchafu kwenye terminal za bettri..

Amim usiamin kama utazimikiwa na gari kwa tatizo la uchafu kwenye terminal au voltage drop kutokana na carbon kwenye bettri terminal and clamp nunua coka au pepsi hata juice za azam cola au sippy soda kisha mwagia kwenye terminal za betri kisha wait kama dk 2 uchafu wote wa acid unapukutika.
 
Back
Top Bottom