NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,392
- 12,981
Sijui hawa jamaa (mashabiki wa Simba SC) huwa wana nini?
Ngoja tusubiri mpira mkali Fainali ya Mabingwa Afrika ya Wydad Casablanca na Al Ahly, hii ni Fainali ya pili ambapo mwanzo walitoka kwa mbili moja nyumbani kwa Al Ahly.
Haya mashabiki wa Simba SC subirini Wydad ashinde mje kuandika nyuzi kuwa mlitolewa na timu ngumu.
Nawasilisha hoja.
Ngoja tusubiri mpira mkali Fainali ya Mabingwa Afrika ya Wydad Casablanca na Al Ahly, hii ni Fainali ya pili ambapo mwanzo walitoka kwa mbili moja nyumbani kwa Al Ahly.
Haya mashabiki wa Simba SC subirini Wydad ashinde mje kuandika nyuzi kuwa mlitolewa na timu ngumu.
Nawasilisha hoja.