Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Hivi kwanini Gazeti la Serikali maarufu kama Government Gazette ambako mambo muhimu ya Taifa kuanzia sheria, kanuni, katiba, au matangazo rasmi huwekwa na mabadiliko katika sheria, kanuni, katiba, mikataba au miswaada huchapiswa si jambo la wazi na rahisi kupatikana kwa kila Mtanzania?
Ukienda kwenye website ya Bunge, hakuna, ukija website ya Serikali hakuna, sasa ni vipi sisi kama wananchi tujue mabadiliko au ukweli wa mambo ambao unachapwa na Gazeti la Serikali kama sheria au katiba ikiwa kila kitu kinafanywa kwa siri na kufichwa?
NI siri gani zilizomo kwenye kijarida hiki rasmi cha serikali tufichwe ukweli na kisha kuja kudhulumiwa haki kwa kuambiwa mambo yaliandikwa kwenye kigazeti hiki?
Make the damn Government Gazette available to public and through all means including internet if the Gazette is still circulating in few the proud eyes!
Ukienda kwenye website ya Bunge, hakuna, ukija website ya Serikali hakuna, sasa ni vipi sisi kama wananchi tujue mabadiliko au ukweli wa mambo ambao unachapwa na Gazeti la Serikali kama sheria au katiba ikiwa kila kitu kinafanywa kwa siri na kufichwa?
NI siri gani zilizomo kwenye kijarida hiki rasmi cha serikali tufichwe ukweli na kisha kuja kudhulumiwa haki kwa kuambiwa mambo yaliandikwa kwenye kigazeti hiki?
Make the damn Government Gazette available to public and through all means including internet if the Gazette is still circulating in few the proud eyes!