george aloyce
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,237
- 1,901
Matumizi ya shahawa(sperms)katika limbwata
wakati wa kufanya sex andaa vitambaa viwili vya kujifutia baada ya tendo
š«µKimoja chako na zingine cha mpenzi wako
š«£Mpe mapenzi ya ukweli mpaka aseme basi na mkimaliza chukua kitambaa chako jifute na chukua cha mpenz wako mfute
Kuwa makini hapo na jifanye una kwenda kukojoa chooni
Ukifika toilet jipake shahawa zake mguuni kwenye unyayo kisha kanyaga chini nuwiza wewe Fulani ingiza uume wako kwenye uchi wangu tu na si ya mwanamke mwingine
kisha kaoge
š«µFanya hivyo Mara Tatu utanipa majibu..
š§āNa iwe hivyo.
By.
Mchawi wa wachawi
TAHAJIA YA LEO KWA KUTUMIA MKAA
Ukiwa unatoka nyumbani, chukua kipande cha mkaa, weka mfukoni halafu tembea nacho. Hii itakifanya ujiepushe na kila aina ya Mamikosi yote ya barabarani