mmash
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 830
- 1,228
😂😂😂😂😂Basi tukapanga siku twende pale zahanati ya chuo tukapime, nikasema poa maana ile zahanati ya chuo naiamini, chochote utachopima pale utaambiwa hauna, kuna siku nilienda pale nnaumwa balaa, yaan nashikiliwa nisianguke, ajabu nikapimwa maleria nikaambiwa sina, kwenda kairuki kupima nakutwa na maleria za kufa mtu, basi nikasema pale ukienda kupima hata uzito si ajabu ukaambiwa hauna