Usichokitegemea ni kama Maajabu.

wade adams

Senior Member
Dec 2, 2011
160
47
Wengi hudhani unavyokiona ndivyo kilivyo bila utafiti na takwimu za kutosha na kutolea maamuzi.

Angalia sasa tunainamisha nyuso kabla hata jua halijachomoza. Watz tumezidi kukurupuka hata kabla kufunga kufungua na kisha kufungua midomo kushika kalamu au kuingia mitandaoni.

Hebu tafakari hivi Magufuli alitabiri kifo kabla hajawa raisi au MUNGU alifunulia uteuzi wake, Mimi siyo mshabiki wa yo yote, kibaraka, mwegemea po pots ila ni mwanamapinduzi na mpenda mabadiliko "tangible".

Huyu bwana alituguza watz wengi tungu kondokewa na baba yetu Julius. Tulitaka sana mtu mwenye maamuzi yakijeshi baada ya vita vya Uganda na baada ya kufunga mikanda miezi 18 kushindika World Bank wametubana foreign current hakuna chakula hukuna actually Hali ya nchi ulikuwawa mbaya hadi utawala ukawa to some extent ukawa unstable. World wakataka Tanzania ishushe dhamani ya shilingi hadi elfu moja kwa dola moja. Pamoja na hayo Bank hiyo ilitupa masharti mengi gamizi.

Waziri wa fedha wakati huyo Edwin Mtei kama mtaalamu mbobezi wa uchumi kwa kuzingatia uweledi alikubali na kumshauri Raisi akubaliane na masharti.

Rais hakukubaliana na hilo akiwa kigoma na hatimaye Waziri wa fedha kujiuzulu ndiyo akaja Clopa Msuya.

Kuanza hapo uchumi wa Tanzania ukaaza kuporomoka kwa mserereko na kupoteza thamani hadi kipindi cha mkapa mserereko ulipungua kwa miaka kumi. Rushwa ndiyo ilianza kunyemelea kipindi cha RTC, UGAWAJI n.k. Tulishindwa kufanya manunuzi kwani ilikuwa haina kitu kwa tulikuwa kwenye vikwazo vya uchumi hadi tu- succumb hadi tuachane na Ujamaa na kukubaliana na masharti ya IMF na WORLD BANK, kukiwepo vitu vinaitwa "STRUCTURAL ADJUSTMENTS"

Uchumi wetu ulikuwa kama wa kenya na kuzidi. Shilingi yetu na Kenya ilikuwa na thamani sana, Uganda ilikuwa imeserereka kutoka a na utawalabaya wa Idd Amini Dadaa.

Kea mara ya kwanza shilingi yetu ilidumu kwa thamani keae muda wa miaka mitano bila kutetereka, uchumi kuimarika, ustawi wa jamii kurebika, maendeleo ya miundombinu kukarabatiwa kuendelea, Air Tanzania kurudi angani, Elimu kurudi kwenye viwango na mengine mengi.

Tuhitaji Mwanajeshi au mtu mwenye combat au military style of Management. Yaani unapewa amri unatekeleza maswali baadaye.

Maagizo yatokea kwenye Commanding Post na kinachotakiwa ni matokeo yenye Tina.Tulimpata Magu walau alifanya kitu pamoja na alikuwa raia"MUNGU amlaze mahali pema peponi.

Sasa tumepata mahali pa kuanza. Ameacha nchi mahali paziri uchumi mzuri shilingi stable viongozi wazuri n.k.

Sasa kwanini Magufuli alikuwa na maono ni kuteuwa Samia make shapafu ambaye hatambi gender kwenye KAZI, siyo msaliti kutoka a na speech yake ya leo.

Sauti yake unyenyekevu wake na muonekano wake haureflect style yake ya utawala, ambaye umdhaniaye siyo. Hivyo tumshukuru sana Magufuli kea maono na busara zake. Huko aliko anatabasu kwa kuwa legacy yake tunaiheshimu na ....kwa mipango makusudio yake kuzikwa nayo kwa Raisi Samia ameamua kuyaridhi na kuyaendeleza. Ametoa hiyo ahadi leoe na ni mtu wa misimamo. Hataki mtu wa kuzingua.

Hongera mama, Hongera dada, Tunamwomba Mungu akulinde, akutangulie, akubariki na akupe maisha marefu kufuatana na upendavyo.
 
Nyie matanga hamchelewi kuanza kumpa huyu mama sifa zisizo zake mtamponza kama yule mwendazake ambaye mlianza kumuita mara Yesu mara Mungu mwisho wa siku hasira za Mungu zikawa juu yake.
 
Unaelekea kuwa na ABC za uchumi ila hakuna mtiririko na reflection za kiukweli kwa Tanzania. Niwe wazi japo hutopenda. Huelewi au umesahau kiki kilitokea Tanzania na lini. Mara structural adjustment, mara Mkapa ukaja uchumi kuterereka mara ukakua miaka kumi. Karibia na mwisho Unamwelezea mwenda zake kumchagua Mgombea mwenza japo sio yeye aliyemchagua etc. Hebu tafuta muda usome mada ya uchumi wa Tanzania bila mihemko ya kupenda kumsifia au kumponda kiongozi yeyote uone kama utakuja na hilo simulizi hapo juu!! Hii itakuwia rahisi tu kama umesoa uchumi. Kama unapenda taaluma itendee haki bila mihemko!
 
HUYU MAMA ANA KWENDA KUTUUZA WATANZANIA SOON
Vijana wa CCM mliokosa ulaji tafuteni kazi halali. Maana anataka hataki dhuluma.

Swali, je Chama Cha Majambazi kinaweza kumbadilisha muislamu safi kama Samia kuwa haramia?

Stay tuned!
 
Keshaoza imeisha hiyo! Na wale aliokuwa anawasingizia uhujumu uchumi wanapumua sasa.

Funzo: Tuishi kwa kupendana duniani tunapita.
 
Nyie matanga hamchelewi kuanza kumpa huyu mama sifa zisizo zake mtamponza kama yule mwendazake ambaye mlianza kumuita mara Yesu mara Mungu mwisho wa siku hasira za Mungu zikawa juu yake.
Yupo wapi kiongozi wa wajinga/ MATAGA yule wa kuitwa MUSIBA?
 
Back
Top Bottom