Mauza uza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2008
- 2,097
- 1,363
nampenda sana hyu mtu...
Historia yake ina vitu vya kujifunza.
Mungu amubariki sana mzalendo huyu[/QUOT
Mkuu mie nafikiri vitu vya kujifunza hapo ni kwamba kwenye maisha usikate tamaa hata kama kuna sehemu ulipata negative results just keep going!! mpaka utafanikiwa sometimes unapata mafanikio umri ukiwa umeshaenda.