Mashara wangu unakatwa 30% PAYE. kile kidogo kinachobaki, kwa kila elfu mbili ninayolipa kununua lita moja ya petroli serikali inachukua sh. 600, Kumbuka hii ni baada ya kunikata 30% kwenye mshahara wangu hata kabla haujafika mikononi mwangu!
Kenya wananchi wamepiga kelele na serikali imesikia, Leo katika KBC nimesikia serikali IMEPUNGUZA KODI ya mafuta ili kumpa ahueni mtumiaji wa mwisho, Naishauri Serikali ya Tanzania Ifate mfano huo.
Katika nchi nyingi middle east retail price ya petroli ni kati ya sh 240 hadi 500 kwa lita, najua kuwa wao ndio wazalishaji wa mafuta na kuna gharama inatumika kabla mafuta hayajatufikia sisi lakini bei inatokaje sh 240 pale Saudi Arabia, au sh 255 Libya au sh 285 Quatar na kufikia sh 2100 Tanzani kwa Lita?
Crude oil kwa sasa ipo at $ 110 per barrel ambayo huwa na around 142 Litres of crude oil, na hii barrel moja ikiwa refined unapata
Petrol Lita 74
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]distillate fuel oil Lita Lita 35
[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]kerosene-type jet fuel Lita 15.5[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]residual fuel oil Lita 9[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]liquefied refinery gasses[/FONT] 1.9 gallons
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]still gas 1.[/FONT]9 gallons
Coke 1.2 gallons
na mazagamazaga mengine mengi, Ukiangalia huo mchanganuo hapo utaona hata kama barrel moja ikifika $ 180 bado bei ya lita moja sokoni haitakiwi iwe 2100.
Serikali has to do something.
Nawasilisha!
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
[/FONT]
Kenya wananchi wamepiga kelele na serikali imesikia, Leo katika KBC nimesikia serikali IMEPUNGUZA KODI ya mafuta ili kumpa ahueni mtumiaji wa mwisho, Naishauri Serikali ya Tanzania Ifate mfano huo.
Katika nchi nyingi middle east retail price ya petroli ni kati ya sh 240 hadi 500 kwa lita, najua kuwa wao ndio wazalishaji wa mafuta na kuna gharama inatumika kabla mafuta hayajatufikia sisi lakini bei inatokaje sh 240 pale Saudi Arabia, au sh 255 Libya au sh 285 Quatar na kufikia sh 2100 Tanzani kwa Lita?
Crude oil kwa sasa ipo at $ 110 per barrel ambayo huwa na around 142 Litres of crude oil, na hii barrel moja ikiwa refined unapata
Petrol Lita 74
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]distillate fuel oil Lita Lita 35
[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]kerosene-type jet fuel Lita 15.5[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]residual fuel oil Lita 9[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]liquefied refinery gasses[/FONT] 1.9 gallons
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]still gas 1.[/FONT]9 gallons
Coke 1.2 gallons
na mazagamazaga mengine mengi, Ukiangalia huo mchanganuo hapo utaona hata kama barrel moja ikifika $ 180 bado bei ya lita moja sokoni haitakiwi iwe 2100.
Serikali has to do something.
Nawasilisha!
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
[/FONT]