Ushuru wa Mafuta Unatuumiza, Kenya washapunguza JK tafadhali Waige Majirani Zako

Uswe

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
2,204
626
Mashara wangu unakatwa 30% PAYE. kile kidogo kinachobaki, kwa kila elfu mbili ninayolipa kununua lita moja ya petroli serikali inachukua sh. 600, Kumbuka hii ni baada ya kunikata 30% kwenye mshahara wangu hata kabla haujafika mikononi mwangu!

Kenya wananchi wamepiga kelele na serikali imesikia, Leo katika KBC nimesikia serikali IMEPUNGUZA KODI ya mafuta ili kumpa ahueni mtumiaji wa mwisho, Naishauri Serikali ya Tanzania Ifate mfano huo.

Katika nchi nyingi middle east retail price ya petroli ni kati ya sh 240 hadi 500 kwa lita, najua kuwa wao ndio wazalishaji wa mafuta na kuna gharama inatumika kabla mafuta hayajatufikia sisi lakini bei inatokaje sh 240 pale Saudi Arabia, au sh 255 Libya au sh 285 Quatar na kufikia sh 2100 Tanzani kwa Lita?

Crude oil kwa sasa ipo at $ 110 per barrel ambayo huwa na around 142 Litres of crude oil, na hii barrel moja ikiwa refined unapata

Petrol Lita 74
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]distillate fuel oil Lita Lita 35
[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]kerosene-type jet fuel Lita 15.5[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]residual fuel oil Lita 9[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]liquefied refinery gasses[/FONT] 1.9 gallons
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]still gas 1.[/FONT]9 gallons
Coke 1.2 gallons

na mazagamazaga mengine mengi, Ukiangalia huo mchanganuo hapo utaona hata kama barrel moja ikifika $ 180 bado bei ya lita moja sokoni haitakiwi iwe 2100.

Serikali has to do something.

Nawasilisha!
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
[/FONT]
 
Mashara wangu unakatwa 30% PAYE. kile kidogo kinachobaki, kwa kila elfu mbili ninayolipa kununua lita moja ya petroli serikali inachukua sh. 600, Kumbuka hii ni baada ya kunikata 30% kwenye mshahara wangu hata kabla haujafika mikononi mwangu!

Kenya wananchi wamepiga kelele na serikali imesikia, Leo katika KBC nimesikia serikali IMEPUNGUZA KODI ya mafuta ili kumpa ahueni mtumiaji wa mwisho, Naishauri Serikali ya Tanzania Ifate mfano huo.

Katika nchi nyingi middle east retail price ya petroli ni kati ya sh 240 hadi 500 kwa lita, najua kuwa wao ndio wazalishaji wa mafuta na kuna gharama inatumika kabla mafuta hayajatufikia sisi lakini bei inatokaje sh 240 pale Saudi Arabia, au sh 255 Libya au sh 285 Quatar na kufikia sh 2100 Tanzani kwa Lita?

Crude oil kwa sasa ipo at $ 110 per barrel ambayo huwa na around 142 Litres of crude oil, na hii barrel moja ikiwa refined unapata

Petrol Lita 74
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]distillate fuel oil Lita Lita 35
[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]kerosene-type jet fuel Lita 15.5[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]residual fuel oil Lita 9[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]liquefied refinery gasses[/FONT] 1.9 gallons
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]still gas 1.[/FONT]9 gallons
Coke 1.2 gallons

na mazagamazaga mengine mengi, Ukiangalia huo mchanganuo hapo utaona hata kama barrel moja ikifika $ 180 bado bei ya lita moja sokoni haitakiwi iwe 2100.

Serikali has to do something.

Nawasilisha!
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
[/FONT]
duh nashukuru kwa mchanganuo! kumbe ni wizi mtupuuuu lazima tuandamane ila isije kuwa kama kwa MU7 amewapiga biti wasithubutu kuandamana
 
Mkuu hapa tz kodi ni nyingi mno.ktk kila lita moja kuna makato yafuatayo
TPDC wanachukua chao
TIPER wanachukua chao
TANROAD wanachukua chao(wakati wateja wengine hawatumii barabara,ie meli,train na generators)
INCOME TAX wanachukua chao
EWURA wanakula chao
Kuna mfuko unaitwa PRICE WINDFALL wa kubalance bei wanakula chao
Mwenye kituo cha mafuta anakula chake...
Bado gharama halisi za kuzalisha na kufikisha hiyo bidhaa hapa
hapo si lazima bei ifike 2100
 
ndugu 60 percent ya sh 2100 ni hizo kodi uchwara za govt!ina maana kenya mafuta itakua Tsh 1200 kwa lita!moshi arusha tanga mara tukae mkao wa kutumia mafuta ya magendo toka kenya! Mimi naona hiyo ni sababu tosha ya kuandamana kudai wapunguze kodi,deficit ijaziwe na pembe za tembo wetu wanazouza kimagendo kwa wachina!
 
Ahsante Uswe na Inko!
Afu hapo watakuja wachumi sijui watakwambia china inflation imefanyaje sababu marekani kaenda iraq sijui hata brazil...... upuuuuuuuuuuuzi tu, hivi viserikali legelege kama vyetu hapa bongo wala havina ubunifu kwa maisha mema ya watu wake,
wizi mtupu!
 
Mkuu hapa tz kodi ni nyingi mno.ktk kila lita moja kuna makato yafuatayo
TPDC wanachukua chao
TIPER wanachukua chao
TANROAD wanachukua chao(wakati wateja wengine hawatumii barabara,ie meli,train na generators)
INCOME TAX wanachukua chao
EWURA wanakula chao
Kuna mfuko unaitwa PRICE WINDFALL wa kubalance bei wanakula chao
Mwenye kituo cha mafuta anakula chake...
Bado gharama halisi za kuzalisha na kufikisha hiyo bidhaa hapa
hapo si lazima bei ifike 2100

Na Ukumbuke hizo kodi ni zile tunaita indirect tax, wakati huo tayari unakuwa ushagongwa direct tax ambayo ni PAYE, yaani hapa Tanzania Income unayopata almost 50% inaenda serikali kama kodi (both direct na indirect)

Je tunapata thamani ya kodi yetu? Je hizi pesa zinazokusanywa na serikali kupitia kodi zinafanya kazi gani? si ndio hizi zinatoa ruzuku kwa vyama badala ya kununua dawa za hospitali? si ni hizi zinalipa wanasiasa marupurupu ya ajabu wakati hatuna vyoo wala vitabu mashuleni? Ni wakati sasa tuhoji kwa nguvu zote namna kodi yetu inatumika
 
Mashara wangu unakatwa 30% PAYE. kile kidogo kinachobaki, kwa kila elfu mbili ninayolipa kununua lita moja ya petroli serikali inachukua sh. 600, Kumbuka hii ni baada ya kunikata 30% kwenye mshahara wangu hata kabla haujafika mikononi mwangu!

Kenya wananchi wamepiga kelele na serikali imesikia, Leo katika KBC nimesikia serikali IMEPUNGUZA KODI ya mafuta ili kumpa ahueni mtumiaji wa mwisho, Naishauri Serikali ya Tanzania Ifate mfano huo.

Katika nchi nyingi middle east retail price ya petroli ni kati ya sh 240 hadi 500 kwa lita, najua kuwa wao ndio wazalishaji wa mafuta na kuna gharama inatumika kabla mafuta hayajatufikia sisi lakini bei inatokaje sh 240 pale Saudi Arabia, au sh 255 Libya au sh 285 Quatar na kufikia sh 2100 Tanzani kwa Lita?

Crude oil kwa sasa ipo at $ 110 per barrel ambayo huwa na around 142 Litres of crude oil, na hii barrel moja ikiwa refined unapata

Petrol Lita 74
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]distillate fuel oil Lita Lita 35
[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]kerosene-type jet fuel Lita 15.5[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]residual fuel oil Lita 9[/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]liquefied refinery gasses[/FONT] 1.9 gallons
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]still gas 1.[/FONT]9 gallons
Coke 1.2 gallons

na mazagamazaga mengine mengi, Ukiangalia huo mchanganuo hapo utaona hata kama barrel moja ikifika $ 180 bado bei ya lita moja sokoni haitakiwi iwe 2100.

Serikali has to do something.

Nawasilisha!
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
[/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]
[/FONT]

Mkuu hapa tz kodi ni nyingi mno.ktk kila lita moja kuna makato yafuatayo
TPDC wanachukua chao
TIPER wanachukua chao
TANROAD wanachukua chao(wakati wateja wengine hawatumii barabara,ie meli,train na generators)
INCOME TAX wanachukua chao
EWURA wanakula chao
Kuna mfuko unaitwa PRICE WINDFALL wa kubalance bei wanakula chao
Mwenye kituo cha mafuta anakula chake...
Bado gharama halisi za kuzalisha na kufikisha hiyo bidhaa hapa
hapo si lazima bei ifike 2100

Wakuu nimesoma hii michanganuo miwili na nikajiuliza sana, kweli kuna uhalali wa bei ya mafuta kufika 2100.. nikaona hakuna uhalali wowote... inabidi tuamue kweli kabisa kwa dhati ya mioyo yetu tufanye mabadiliko tumechezewa sana sasa inatosha. Waliua tipper makusudi ili wawe wanajipangia bei sababu wao ndio waagizaji. Kuna haja ya kuandamana kuishinikiza serikali ifanye inavojua bei ya mafuta ishuke!!
 
Wakuu nimesoma hii michanganuo miwili na nikajiuliza sana, kweli kuna uhalali wa bei ya mafuta kufika 2100.. nikaona hakuna uhalali wowote... inabidi tuamue kweli kabisa kwa dhati ya mioyo yetu tufanye mabadiliko tumechezewa sana sasa inatosha. Waliua tipper makusudi ili wawe wanajipangia bei sababu wao ndio waagizaji. Kuna haja ya kuandamana kuishinikiza serikali ifanye inavojua bei ya mafuta ishuke!!

Kenya wananchi wameonesha nia tu ya kutaka kupinga na serikali ika-act fasta kwa kupunguza ushuru, tukumbuke wanasiasa hawaathiriki sana na bei za mafuta wala kiwango cha kodi, kwa sababu wao ndio watunga sheria wana exemptions kibao, we ushawahi kujiuliza kwa nini wabunge hawalipi kodi? kwa nini vyama vya siasa vipewe ruzuku? kwa nini serikali kila asubuhi wanaongeza tu kodi hata siku moja hawawazi kupunguza? ITS ABOUT TIME WE START QUESTIONING HOW IS GVT USING OUR MONEY!
 
kenya hata bidhaa za viwandani hushuka na kupanda bei kutokana na hali halisi ya gharama.Tanzania sijawahi ona bidhaa ikishuka bei mpaka kuwe na shinikizo la bidhaa pinzani ya nje
 
Wanasiasa ni wanyonyaji, wenyewe hanajipa exemption ya kodi na wanatumia pesa za walipa kodi kula raha
 
mmhh huyu akili zake atapunguza mafuta ya taa pekee tuongezewe michakachuo kwenye magari yetu loh..wacha yabaki hivihvi
 
Back
Top Bottom