Ushirikina na unyanyasaji wa maalbino

mdau wetu

JF-Expert Member
Apr 20, 2011
548
58
Hivi Watanzania watastaarabika lini na kuacha ushirikina hasa wa kuwanyofoa viungo maalbino
 
hivi watu wa kanda yaziwa watastaarabika lini kila siku wanauana kinyama na kuendeleza ujinga
asilimia kubwa ya mauaji ya kutisha kama sio shinyanga ni mwanza
 
Back
Top Bottom