Hivi ni kweli wanaume ni wengi kuliko wanawake?na ni kweli wanawake wengi hawajisikii vizuri endapo hawajaolewa au hawapo kwenye mahusiano fotauti na wanaume ambao ni single?
kawaida sana, takwimu zinaonesha kila mwanaume amezungukwa na wasichana watano, hii imetokana na ugonjwa wa malaria kuwazidi watoto wa kiume kuliko wa kike(resistant to malaria), na hata hivyo wanaume wengi huwa na uwezo wa kuzaa watoto wa kike kwa maana kati ya X NA Y, X HUWA NA NGUVU KULIKO Y(SABABU YA JOTO NA ZINGINE)......SASA MWANAUME HAKUBALI ANAZAA WA 1 KE, 2KE, 3KE, 4KE....JUHUDI ZOTE ANATAFUTA WA KIUME. ndiyo maana unakutana na watoto wa kike wengi kuliko wa kiume, "PROFESSIONAL GROWTH DEPEND ON CRITICISM"
Kifupi ni kwamba-WANAWAKE NDO WENGI SAAAAAAAAANA KULIKO WANAUME THATS WHY MWANAUME MMOJA AWEZA OA WANAWAKE HATA KUMI NA ZAIDI IKIWEZEKANA.
Pia ndo maana unaona wanawake wanajitahidi kila siku kujilemba ili waonwe na wanaume walio wachache kuliko wao.
Hayo machache tu kwa leo.
AHSANTE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.