Hofu yako ya uchaguzi ndiyo inakutuma uje uandike haya?Mbona hujisemi wewe ambaye baba yako yupo CCM bado.Subiri siku ya uchaguzi utanifahamu vizuriNaomba nimzungumzie Ben namfahamu zaidi. Ni mtu hatari kupita maelezo. Kwanza muulizeni anafanya kazi gani? Halafu siku nzima anashinda mitandaoni mtaje hata saa nane usiku atajibu. Pia ana connection sana na uongozi wa jf sijui kwa nini. Chadema sijui kwanini hawalioni. Alitumika sana kum frustrate zzk lakini kwa njia nyingine na yeye ndie amejenga makundi ya kugawa chama kwa kupeleka umbea pande zote.