MUSHEKY
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 2,812
- 2,754
Kama inavyosomeka hapo juu wadau, nimelima mazao ya mahindi nikachanganya na kunde.
Changamoto niliyonayo nimechelewa kupalilia kwa jembe la mkono nataka nitumie dawa au "sumu" kupalilia
Shida ninayokutana nayo maduka nilipo ni kwamba wengi wanafahamu sumu za kupalilia zao moja pekee mfano mahindi peke yake au kunde pekeyake Si VYOTE KWA PAMOJA na kwamba iwapo nitazitumia kwenye mazao haya mawili niliyoyapanda pamoja basi zao moja litakufa
Kwa mwenye kuifahamu sumu inayofanya kazi kwa pamoja kwenye kupalilia mahindi na kunde anijulishe tafadhali
Changamoto niliyonayo nimechelewa kupalilia kwa jembe la mkono nataka nitumie dawa au "sumu" kupalilia
Shida ninayokutana nayo maduka nilipo ni kwamba wengi wanafahamu sumu za kupalilia zao moja pekee mfano mahindi peke yake au kunde pekeyake Si VYOTE KWA PAMOJA na kwamba iwapo nitazitumia kwenye mazao haya mawili niliyoyapanda pamoja basi zao moja litakufa
Kwa mwenye kuifahamu sumu inayofanya kazi kwa pamoja kwenye kupalilia mahindi na kunde anijulishe tafadhali