Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 18,430
- 42,538
Wowowo lako linatosha..Achana na Wowowo la mtuTatizo wowowo
Wowowo lako linatosha..Achana na Wowowo la mtuTatizo wowowo
Wewe una wowo2Wowowo lako linatosha..Achana na Wowowo la mtu
We tumia Wowowo lako,..Achana na mawowo ya watuWewe una wowo2
Kuna watu wanacomment upuuzi tu, what iz wowow, yaan na kuongea kote nilitegemea mtu atacoment vzr kulingana na kilichoulizwa , ila huyu ndy zeroo hahahaha eti tena linakazia mxiuuuuuuuuukama mungu mungu hajakujaalia wowowo ni ngumu mwanamke kujikubali kwa dunia ya leo...wowowo ni muhimu kuliko kila kitu
Wowo sio kigezo Cha mtu kujikubali, bado uko nyuma Sana mkuu, rudi shule yatakushindaakama mungu mungu hajakujaalia wowowo ni ngumu mwanamke kujikubali kwa dunia ya leo...wowowo ni muhimu kuliko kila kitu
Bonge la point jamani waooooooh, thanksDada wewe binafsi ni zaidi ya hipsi na ni zaidi ya huo unene unaoutaka.. Thamani ya utu wa mtu haipimwi kwa muonekano wako unapimwa kwa unachokimiliki ndani yako... utashi wako,upendo wako,utu wema wako,uvumilivu na nk.hutakiwi wewe kujinyanyapaa hata siku moja,Hivi umeshaona watu wana viwiliwili tu lakini wapo happy huko mtaani au mitandaoni?sembuse wewe Dada umepewa viungo vyote?hujitendei haki.... kila siku kumbuka huwezi kupendwa na kila mtu wewe sio pesa.... Mabadiliko yanaanza na wewe,Jipende,jithamini, hii itakuongezea confidence hutaamini hao wanaokusema wataacha.
Yaani ukiifanyia kazi hii,mydear hutojutaaa..Bonge la point jamani waooooooh, thanks
Asante dearYaani ukiifanyia kazi hii,mydear hutojutaaa..
Aiseeh kweli kila mtu na taste yake, sipendi mabonge wasiokuwa na mpangilio ila napenda wanawake wenye nyamanyama na figure zilizoenda shule.Mbona mi wanawake ya type yako ndo napenda sana
Kuna kitu inabidi ujue mitandao inadanganya
For 12 years,sijawahi ku date na mwanamke mwenye kilo 55 kwenda juu wote ni vimbaumbau ingawa napenda vimbaumbU vyenye vinavyojua kuvaa.
Mara kibao nimejaribu ku date mabonge si malizi nao ht week 3.Hapa nimelala na mademu wembamba Zaidi ya 16 hata wife hataki kabisa nizoeane na wanawake wembamba km yeye maana anajua nitawatamani.Jiamini binti hata wewe una utamu wako ambao mabonge hawana
Nachotaka kukwambia kila mwanaume ana taste yake.Mi nasisimka sana nikilala na slim woman kuliko bonge haya ukinenepa mi napata wapi mademu wa type zangu..
Hiyohiyo mihogo inAyoitwa chakula cha masikini,uswahili ndo inapendwa balaa
Tazama hii video👇 zaidi ya mara moja, Kuna jambo la kujifunzaNahitaji faraja yenu wana JF, au nivae mavazi gani, au nifanye nini nami niwe na muonekano mzuri na wa kuvutia?
Unaomba ushauri Tena unatukana washauri ndo maana hujikubali. Ulishaona wapi ushindwe kunikubali ndo nyie mnaokimbilia ma surgery mnaugua Cancer mnakufa.Wowo sio kigezo Cha mtu kujikubali, bado uko nyuma Sana mkuu, rudi shule yatakushindaa