Green Koryo
JF-Expert Member
- Jul 6, 2022
- 608
- 1,118
The same my situation too
Tunavukaje?The same my situation too
Ukiongea inaonekana unapiga kelele.Nawaza mimi ninaeishi chini ya dola 1 nikikushauri utanielewa,au ntaishia kidharaulika tu.
Umasikini mbaya vikao vya familia sisi ndio wakaribisha wageni.
Bidhaa ADIMU kwa Sasa ni UAMINIFU.Inaonekana jamaa ni mwaminifu sana
Hata hiyo nafasi ya kupiga kelele unapewa, ukitaka kuongea unaambiwa kamfungulie soda fulani, sijui kalete hiki.. 🤣Ukiongea inaonekana unapiga kelele.
Mwanaume hutakiwi kutiatia huruma kiasi hiki, pambana, zamia hata wap huko ukazisake, jiulize swali upo hapa duniani kufanya nnNawaza mimi ninaeishi chini ya dola 1 nikikushauri utanielewa,au ntaishia kidharaulika tu.
Umasikini mbaya vikao vya familia sisi ndio wakaribisha wageni.
Kwa line zote sio chini ya laki5 kwa huo mtajiKwa mzunguko wa wastani je mtaji wa milioni 5 kweny miamala ,unaweza kupata faida kiasi gani per month?
shukrani chifuKwa line zote sio chini ya laki5 kwa huo mtaji
shukrani chifu
Pamoja sanashukrani chifu
Mimi Nina biashara ya vinywaji vya jumla na hivi ndivyo NAVYOFANYA.Nilikuwa nakutana na hali kama yako. Njia mojawap nyepesi, tafuta supplier wakubwa wanakuuzia bidhaa,na unaowaamini, lipia bidhaa in advance ,chukua risiti zako zitunze kwenye email.
Automatically mzunguko wa bishara utakuwa hapo umekuwa na akiba imekua. Ukihitaji cash, unakusanya mauzo kwa muda bila kuagiza bidhaa mpya.
By the way, unatoka kuziona milioni 5 cash kwa akaunti ili iweje? Ndio mwanzo wa kwenda kuwekeza Kalynda au kwa wale walima Vanilla wa mchongo.
Inategemea na mzunguko wako.Kwa mzunguko wa wastani je mtaji wa milioni 5 kweny miamala ,unaweza kupata faida kiasi gani per month?
I wish ningewai ona ushauri Kama huu na nikauzingatia yasingenikuta,nilianzisha ofisi nyingine ,garama za uendeshaji zkaongezeka,wafanyakazi wakawa pasua kichwa, nikawa simudu kujigawa kusamia ofisi zote kwa ukaribu ,kilichotokea ;haha almanusura ofidi zote zife ,nilibakia na ofisi mama tu Tena ikiwa imechoka atar ,ili nilijifunza iki ulichoandika hapa practicallyKwa nnachokiona kwako uko vizuri sana kwenye biashara unayofanya, sasa kama una Experience nzuri na hiyo biashara yako ni bora uelekeze nguvu zaidi huko mpaka utakapopata pesa nyingi zaidi ndo uwaze kufanya diversification. Ukianza kutoa hela kwenye hiyo biashara kuanzisha kitu kingine maana yake mzunguko wa hiyo utapungua, focus ya hiyo itapungua, na hiyo mpya ili iendelee kusurvive itataka backup, na backup yenyewe ndo hauna focus nayo tena sana kama mwanzo, itakufa na utarudi kule kule mwanzo. Think beyond on how you can create new source of revenue from the same business you are doing.
Pole mkuu, kuendesha biashara mpaka iwe successful kuna prices za kuPay ambapo mojawapo ni hasara and from there hutarudia tena kosa.I wish ningewai ona ushauri Kama huu na nikauzingatia yasingenikuta,nilianzisha ofisi nyingine ,garama za uendeshaji zkaongezeka,wafanyakazi wakawa pasua kichwa, nikawa simudu kujigawa kusamia ofisi zote kwa ukaribu ,kilichotokea ;haha almanusura ofidi zote zife ,nilibakia na ofisi mama tu Tena ikiwa imechoka atar ,ili nilijifunza iki ulichoandika hapa practically
Kama vifungashio vipi na vipi?Mchanganuo wa gharama na faida ukoje mfano Mtaji wa kuanzia ni kiasi gani?
Ukiwa na Milioni 1.5 utapata faida kiasi gani?
Mkuu Tafuta Eneo karibu na sokoo la vyakula , Fungua duka la vifungashio
Katika kujitafuta haijalishi utakula nn ilimradi siku iende tu broChini ya dola moja unazungumzia chini ya buku mbili (2000) ya kitanzania. Inamaana unaishi kwa kula mihogo ya kukaanga vipande vya mia mia na mia mbili mia mbili kama nguruwe?! 🤔🤔🤔