Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu wa wabunge na madiwani. Nini iwe strategy ya vyama vya upinzani ile viweze kutoa changamoto kwa CCM.
Mimi nadhani , kwanza vyama hivi vingekubaliana kusimamisha mgombea mmoja iwe kwa wabunge au madiwani. Kila mmoja akisimamisha mgombea , watagawana kura na mwisho wa siku chama tawala inashinda.
Pili wange prioritize maeneo ya ku concenrate. Vyama vya upinzani vina following kubwa zaidi kwenye urban areas ukilinganisha na rural areas , ambako kwa sehemu kubwa CCM ina nguvu.
Kama wanaweza kuwa na muungano wa vyama , ingekuwa bora zaidi.
Mimi nadhani , kwanza vyama hivi vingekubaliana kusimamisha mgombea mmoja iwe kwa wabunge au madiwani. Kila mmoja akisimamisha mgombea , watagawana kura na mwisho wa siku chama tawala inashinda.
Pili wange prioritize maeneo ya ku concenrate. Vyama vya upinzani vina following kubwa zaidi kwenye urban areas ukilinganisha na rural areas , ambako kwa sehemu kubwa CCM ina nguvu.
Kama wanaweza kuwa na muungano wa vyama , ingekuwa bora zaidi.