kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
Kutokana na umuhimu wa tanesco kwa taifa hili, nawashauri wafuate mfumo wa makampuni ya simu kwa kuanzisha huduma ya kuongeza salio la luku kwa kurusha kwani itapunguza kero kwa wateja wenu kutokana na luku zenu kuwa vimeo, mf nina siku tatu niko gizani kutokana na key pad ya luku ku-jam, pia naomba mwenye kujua suluhu ya tatizo hili anisaidie wadau.