Mh machemuli umeanza vizuri lakini kuna tetesi kuwa kazi yako ni kujenga nyumba Dar na Mwanza pia huko Ukerewe kutoka pesa za mgao za majimbo.
Kama ni kweli ama la wewe jitahidi kupeleka maendeleo Ukerewe. Anza mapinduzi ya KILIMO kwa kuboresha kilimo cha zao la MUHOGO kwa kutumia mbolea ya samadi au kompsti. Tanzania nzima Ukerewe mnaongoza kwa muhogo mzuri usio na sumu, matunda matamu kupita kiasi, viazi vyenye vitamini A.
pandeni miti na anzisha operation ya kujenga vyoo na zungumza na AZAM AWEKE KIWANDA cha kusindika matunda au juisi huko kwenu. Usikae kae kama MAGAMBA Msekwa na Mongela Yalivyo haribu hicho kisiwa bila kuleta maendeleo yoyote.
Kama ni kweli ama la wewe jitahidi kupeleka maendeleo Ukerewe. Anza mapinduzi ya KILIMO kwa kuboresha kilimo cha zao la MUHOGO kwa kutumia mbolea ya samadi au kompsti. Tanzania nzima Ukerewe mnaongoza kwa muhogo mzuri usio na sumu, matunda matamu kupita kiasi, viazi vyenye vitamini A.
pandeni miti na anzisha operation ya kujenga vyoo na zungumza na AZAM AWEKE KIWANDA cha kusindika matunda au juisi huko kwenu. Usikae kae kama MAGAMBA Msekwa na Mongela Yalivyo haribu hicho kisiwa bila kuleta maendeleo yoyote.