snochet
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 1,407
- 1,110
Habari wanaJF,nina mpango wa kufungua ofisi katika mtaa flani katika jiji la Arusha,na ofisi itahusu computer repairs and maintenance,nimejaliwa sana kuwa competent katika kazi hii na ninaifanya kwa muda sasa,nimeshapata fremu,na ninategemea kuilipia karibuni.ningependa ushauri wenu kuhusu ufahamu wenu kuhusu biashara similar,nitafanyaje ili niweze kupata fedha zaidi kuliko hiyo kazi yangu maalum maana nitakuwa muda mchache(labda nusu siku),maana muda mwingi nipo kwenye masomo.ningependa kupata idea zenu katika vitu vinavyoweza kuniongezea mapato kama movies,kuflash simu,vocha,CD rentals na vinginevyo
.nitafurahi sana mkinisaidia kimawazo
.natanguliza shukrani zangu.