aisee wadau naomba ushaur nimekula mayai nais ya kichina mdomo lips ya juu unazid kuvimba mda had mda mwenye kujua dawa ya hili tatizo naomba anijuze maana hali inakuwa mbya nisaidien
Kwanza ni kwamba nataka ufahamu kuwa umepata allergy. Na kama ni mara ya kwanza baada ya kula mayai yawezekana kutokana na madawa ambayo alikuwa kapewa kuku aliye taga hilo yai. Mara nyingine usi tumie mayai ya chanzo hicho
Kama tiba, unaweza kuanza na prednisolone 10mg x 3 kwa siku kwa siku 3-5. halafu punguza 5mgx3 kwa siku kwa siku 5-7 na uanze kutumia 5mg x 1 kwa siku kwa siku 3. Pamoja na dawa hiyo waeza kuongeza cetrizine 10mg x 1 kwa siku kwa siku 10.
Au nenda hospitali na watakudunga shindano ya Hydrocortison prn. GOOD LUCK
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.