Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,109
- 2,510
Nasikia Jiji la Dar ndo jiji pekee linaloongoza kwa wingi wa washamba duniani!
Na hao mbolea wanaishi sayari ipi????
washamba wengi wanatokea moshi vijijini
wengi kweli,ukiwemo wewe pia
Siyo kweli, watu wa D'Salaam wanajiona wajuvi sana hata kama hawajui kitu! Kimtindo hawaivi na machalii wa Arusha kwa vile kila mmoja anajiona yupo juu kimaujanja.
Nasikia Jiji la Dar ndo jiji pekee linaloongoza kwa wingi wa washamba duniani!
Maana ya Ushamba ni nini haswa ?
Ni jinsi ya kuvaa
Kujua/kutokujua kuongea lugha za kigeni? n.k
Ama nini?
siyo kweli, watu wa d'salaam wanajiona wajuvi sana hata kama hawajui kitu! Kimtindo hawaivi na machalii wa arusha kwa vile kila mmoja anajiona yupo juu kimaujanja.
jambo usilolijua kwako ni mshamba
</p>Maana ya Ushamba ni nini haswa ?</p>
<p> </p>
<p>Ni jinsi ya kuvaa</p>
<p>Kujua/kutokujua kuongea lugha za kigeni? n.k</p>
<p> </p>
<p>Ama nini?