Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Tuwekee hapa huo ushahidi tuuoneSijui hilo,hata wewe huna taarifa ya hilo!Hoja yangu ni kujifanya kwenu hamjui siasa chafu anazofanyiwa Mbowe!Makada wa CCM wanatumika kwenda kufanya fujo kwenye mikutano ya Mbowe!Ushahidi unewekwa hadharani.Ingekuwaje kama hayo yangefanywa na CDM kwenye mikutano ya CCM?Mfano huku kwetu Kasulu,Rais JPM mara ya mwisho kufika ni wakati wa kampeni!Sasa tukisia anakuja,vijana wa CDM wakaenda kupiga kelele kwenye mkutano wake,nini kitatokea?Polisi watawaangalia tu kama walivyofanya kwa Mbowe?
CCM iache siasa za kishamba zisizo na maana,JK alishasema sana hili!Jibuni hoja kwa hoja sio kufanya siasa za kihuni!