Pole, siye huku kwetu kuku wa kienyeji wametukifu, yaani kila siku inaboa kwa kweli.Where are animal rights....frankly speaking I miss supu ya kuku wa kienyejii, its been a while now!
Pole, siye huku kwetu kuku wa kienyeji wametukifu, yaani kila siku inaboa kwa kweli.
Unakaa mji gani nihamie huko. Huku kwetu wanatulangua unabaki kula sukuma wiki na perege
ha ha ha..... Mbuzi Mzee kama kuna mboga 9 kwanini hakuna Ugali 9?....au ugali mmoja na mboga tatu!!:eek2: