hata wana ccm wenyewe hawawezi kuamini usanii uliofanyika dodoma wiki jana. Atamfukuzaje lowasa wakati wa kampeni alidai kuwa ni mtu safi na apewe ubunge? kama kikwete kamfukuza el sababu ya ufisadi, sasa kwa nini takukuru isimfikishe el mahakamani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.