Usajili wa laini - TCRA-huu utaratibu ni upi tena?

Mwaikibaki

JF-Expert Member
Mar 19, 2015
2,982
3,641
Leo asubuhi nimetumiwa ujumbe mfupi na moja ya kampuni za simu (vodacom) ikiniambia "line yangu ina usajili wa awali hivyo nimezuiwa huduma mpaka niende vodashop na kitambulisho.

Nachojiuliza line hii ina zaidi ya 4years na nilisajili full tena voda shop.

Jamani hizi double standards zimezidi mbona hamueleweki taratibu zenu??? Hii nchi unaweza tumia nusu ya muda kila siku kukaa foleni za usajili./kuhudumiwa ..tutafanya kazi saa ngapi??
 
DAAH POLE MKUU AISEE...VIPI KUSAJILI KWA MFUMO WA BIOMETRIC UMESHAFANYA AU BADO??
 
fanya tu uende bro, binafsi nimetoka kuisajili upya laini yangu leo na inamiaka 8 tangu nianze kuitumia.
 
Nami walinitumia ujumbe wa aina hiyo nikaupuuzia, na waifunge tu.
unaongea kwa kujiamini wakati wakiifungia utaitafuta tena na kuisajili upya...

usiniambie huwezi kuishi hapa mjini bila simu
 
Yangu tangia 2007 lakini imebidi nisajili tena kwasababu hiyo hiyo
 
Leo asubuhi nimetumiwa ujumbe mfupi na moja ya kampuni za simu (vodacom) ikiniambia "line yangu ina usajili wa awali hivyo nimezuiwa huduma mpaka niende vodashop na kitambulisho.

Nachojiuliza line hii ina zaidi ya 4years na nilisajili full tena voda shop.

Jamani hizi double standards zimezidi mbona hamueleweki taratibu zenu??? Hii nchi unaweza tumia nusu ya muda kila siku kukaa foleni za usajili./kuhudumiwa ..tutafanya kazi saa ngapi??



Unajua kuna vijitu vinapewa madaraka lakini kiutendaji havina uwezo, vinafanya mambo kwa kubahatisha na kutoa matangazo tu ili Bwana mkubwa avisikie kuwa vinawajibika wakati vingeweza kujikita katika mambo mapya ya kitekinolojia ambapo vinaweza kupata kila taarifa kwa mtandao, ni kama panya akitaka kutajwa jina basi anachomoka shimoni
 
Ngoja niwasaidie vijana wenzangu kuhusu masuala ya usajili
1. Kabla hatujawa na kitu kinachoitwa TCRA. usajili uliokuwa ukifanyika huko nyuma ilikuwa ni analogue. Yaani unaenda kwa wakala au dukani na kitambulisho wanapiga kopi wanaambatanisha na fomu halafu wanaweka katika faili(database)
2.Tumeingia digital. Unapigwa picha yako na kitambulisho na kumbukumbu zinahifadhiwa kwenye database kama kawaida
3.Kilichoongezeka sasa hivi ni kwamba kuna kitu kinaitwa Biometric registration. Yaani katika kusajiliwa unapigwa picha yako, kitambulisho chako,alama za vidole zinachukuliwa plus signature yako. Kama uliwahi kuandikisha kitambulisho cha kura nadhan utakuwa umenielewa vizuri.

Kama umeambiwa umefanya usajili wa awali kuna mojawapo kati ya haya
1. Kitambulisho ulichokitumia kwa wakati huo na sasa ni tofauti. Au kama ulisajilia kitambulisho cha mtu mwingine.
2. Taarifa zako inawezekana sio sahihi mfano jina limekosewa,tarehe ya kuzaliwa.
3.Usajili kutokukamilika mfano umesajili line yako ya halotel lakin halopesa hujakamilisha/kusajili. Kumbuka kwamba taarifa za usajili wa laini na za huduma za kifedha zote kwa sasa ni lazima zionekane na zifanane zikiwa tofauti shida. Mfano umesajili kawaida jna la JUMA lakini Halopesa/MPESA jina ni jingine kabisa hapo lazima utaambiwa uende dukani kuhakiki/kuboresha taarifa zako.

Ni hayo tu
 
Ngoja niwasaidie vijana wenzangu kuhusu masuala ya usajili
1. Kabla hatujawa na kitu kinachoitwa TCRA. usajili uliokuwa ukifanyika huko nyuma ilikuwa ni analogue. Yaani unaenda kwa wakala au dukani na kitambulisho wanapiga kopi wanaambatanisha na fomu halafu wanaweka katika faili(database)
2.Tumeingia digital. Unapigwa picha yako na kitambulisho na kumbukumbu zinahifadhiwa kwenye database kama kawaida
3.Kilichoongezeka sasa hivi ni kwamba kuna kitu kinaitwa Biometric registration. Yaani katika kusajiliwa unapigwa picha yako, kitambulisho chako,alama za vidole zinachukuliwa plus signature yako. Kama uliwahi kuandikisha kitambulisho cha kura nadhan utakuwa umenielewa vizuri.

Kama umeambiwa umefanya usajili wa awali kuna mojawapo kati ya haya
1. Kitambulisho ulichokitumia kwa wakati huo na sasa ni tofauti. Au kama ulisajilia kitambulisho cha mtu mwingine.
2. Taarifa zako inawezekana sio sahihi mfano jina limekosewa,tarehe ya kuzaliwa.
3.Usajili kutokukamilika mfano umesajili line yako ya halotel lakin halopesa hujakamilisha/kusajili. Kumbuka kwamba taarifa za usajili wa laini na za huduma za kifedha zote kwa sasa ni lazima zionekane na zifanane zikiwa tofauti shida. Mfano umesajili kawaida jna la JUMA lakini Halopesa/MPESA jina ni jingine kabisa hapo lazima utaambiwa uende dukani kuhakiki/kuboresha taarifa zako.

Ni hayo tu


Asante kwa ufafanuzi mzuri
 
Ngoja niwasaidie vijana wenzangu kuhusu masuala ya usajili
1. Kabla hatujawa na kitu kinachoitwa TCRA. usajili uliokuwa ukifanyika huko nyuma ilikuwa ni analogue. Yaani unaenda kwa wakala au dukani na kitambulisho wanapiga kopi wanaambatanisha na fomu halafu wanaweka katika faili(database)
2.Tumeingia digital. Unapigwa picha yako na kitambulisho na kumbukumbu zinahifadhiwa kwenye database kama kawaida
3.Kilichoongezeka sasa hivi ni kwamba kuna kitu kinaitwa Biometric registration. Yaani katika kusajiliwa unapigwa picha yako, kitambulisho chako,alama za vidole zinachukuliwa plus signature yako. Kama uliwahi kuandikisha kitambulisho cha kura nadhan utakuwa umenielewa vizuri.

Kama umeambiwa umefanya usajili wa awali kuna mojawapo kati ya haya
1. Kitambulisho ulichokitumia kwa wakati huo na sasa ni tofauti. Au kama ulisajilia kitambulisho cha mtu mwingine.
2. Taarifa zako inawezekana sio sahihi mfano jina limekosewa,tarehe ya kuzaliwa.
3.Usajili kutokukamilika mfano umesajili line yako ya halotel lakin halopesa hujakamilisha/kusajili. Kumbuka kwamba taarifa za usajili wa laini na za huduma za kifedha zote kwa sasa ni lazima zionekane na zifanane zikiwa tofauti shida. Mfano umesajili kawaida jna la JUMA lakini Halopesa/MPESA jina ni jingine kabisa hapo lazima utaambiwa uende dukani kuhakiki/kuboresha taarifa zako.

Ni hayo tu
Maelezo mazuri ila sasa hayo yanapaswa yatolewe na mamlaka husika sio mwanachi wa kawaida ahangaike
.

simply sijabadili chochote kati ya ulivyotaja hivyo sina lolote ambalo ni relevant hapo.
Ila hiyo biometrics naelewa ila ni kwanini hakuna harmonisation ya mifumo.

Nimetoka kusajili tena sasa hivi maajabu ni kuwa aliyenisajilia ananiambia nimpe buku nikamwambia anipe risiti anasema hiyo ni tip tu ..nimemwambia that is purely stupidity nikupe posho wakati unalipwa na huna risiti?? Hivi mtu asiye na hiyo tip hatahudumiwa?? This is purely insane kudai watu hela kwa kitu ambacho ni free.
 
None of the said factors..simply sijabadili chochote.
Ila hiyo biometrics naelewa ila ni kwanini hakuna harmonisation ya mifumo.

Nimetoka kusajili tena sasa hivi maajabu ni kuwa aliyenisajilia ananiambia nimpe buku nikamwambia anipe risiti anasema hiyo ni tip tu ..nimemwambia that is purely stupidity nikupe posho wakati unalipwa na huna risiti?? Hivi mtu asiye na hiyo tip hatahudumiwa?? This is purely insane kudai watu hela kwa kitu ambacho ni free.
Mkuu wewe unaona hujabadili chochote lakin fahamu hao walioweka huo mfumo sio wajinga ni watu na akili. Halafu kitu kingine kusajili ni bure hakuna gharama yoyote. Kama umekutana na mtu amekufanyia uhakiki/kurekebisha taarifa zako na akakuomba hela ujue kakuomba kwa shida zake. Otherwise kama umeenda kuupdate details zako hapo sawa. Na most of the registrations zinakuwa na kasoro katika taarifa.
 
Tatizo ni vitambulisho kama vilipitwa na muda ndio basi tena nenda tu kasajili upya
 
Back
Top Bottom