Wana jf,
Katika siku.za hivi karibuni usafiri wa anga kwa kutumia kampuni ya precion air umekuwa kama kituko kutokana na kubadilisha ratiba za usafiri mara kwa mara .Sio siri ni afadhali kusafiri kwa basi kwenda mikoa ya kaskazini kuliko kutumia precion air
Katika siku.za hivi karibuni usafiri wa anga kwa kutumia kampuni ya precion air umekuwa kama kituko kutokana na kubadilisha ratiba za usafiri mara kwa mara .Sio siri ni afadhali kusafiri kwa basi kwenda mikoa ya kaskazini kuliko kutumia precion air