Natumaini kuwa wana Jf wote ni wazima na mnaendelea vizuri. Naomba mwenye inforamation ya usafiri wa road (luxury bus) kutoka Dar kwenda Nairobi with good facility, services na comfortability anijuze. Ikiwezekana naomba nipatie contacts zao. Asanteni sana
Amesema anaenda Nairobi, sio Kericho!...huh!Dar express....changamka....
Kampala coach. Ticket Office Ubungo. Google kampala coach for more information.
Amesema anaenda Nairobi, sio Kericho!...huh!
Asante, Dar Express wana service nzuri!.... una uzoefu nao?
Amesema anaenda Nairobi, sio Kericho!...huh!
he he he...utajikeri....mi huwa naenda na 5Y......na kwa taarifa yako nimehamia Kakamega.....
mkuu sasa hizo chuki binafsi wale watu hawataki ujinga mnaofanya kwenye daladala wako sirious na wateja na wanajali muda, ukiwa mkorofi lazima uwachukie.Dar Express. Ila jiandae kukutana na wafanyakazi wenye nyodo utafikiri hayo mabasi ni ndege.
Masinde Morilo garden! duh!usisahau kupitia bustan ya kakamega
Wakuja utawaona tu!Mkuu ina maana huijui Kericho ilip
o? Utajiaibisha mkuu! Angalia vizuri ramani yako utachekwa na watu!