Nyie achen nyie..binadanu wote wana haki sawa ila wengne wanahaki zaid...huwez ukanifananisha mimi na mfanyabiashara yule au mwanasiasa huyu ambaye yeye ...acha ngoja hata nisiseme...unajua inatia uchungu sana....huu ndo usafiri wetu na ndo maana hata ajali haziishi...dereva anakua amekataa tamaa ana mawazo nyumban kwake hajaacha kitu na kamuacha mkewe mja mzito na katoto kake kengne kanaumwa taaban...abiria wanataka kuwah kupita maeneo fulan ambako kuna majambaz so wasipite usiku....but pia wawah kufidia muda wa gari kuharibika njian