Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
Kwenda Marekan sio lazima,kama ilivyo kuja Tanzania si lazima.Ila mhusika anapokuwa na Ulazima wa kwenda Marekani kama hawatak basi hatoingia nchi husika.kwani ni lazima mtu kwenda Marekani?!
Like Now,wamarekan wameweka zuiao hawa wauza unga wasiingie USA kwa sababu ya kujali ustaw wa wananchi wake