US mombasa travel advisory; concerned group or alarmists?

Maana ya kubashiri ndio hyo, iwe kabla halijatokea, likishatokea inakuwa ni kuripoti tu. Kama viongozi wa Kenya hawataki kupewa tahadhari, basi Intelijensia yao ilipaswa kuliona hilo kabla ya intelijensia za nje. Viongozi wa Kenya walipaswa kutilia maanani hilo onyo na kushirikiana nao.

Ninawapa pole waliofikwa na maafa haya.

intelligenstia namna gani na aina gani hiyo? Wana duru za kuaminika mbona wasielezee kwa uwazi mahali hatari inatokea. Ugaidi sio siri tena lakini hawa agenda yao iko firmly fixed kupoteza ulimwengu kuhusu levels za threats. Nikaelezea jinsi miji yanasambaratika Kule Afrika magaribi kwa ugaidi. Tunakubali kuna threats lakini sasa kublow out of proportions kana kwamba dunia inakwisha kuna maana gani? Movements za wa persian AM haswa MBSA lazima zichunguzwe.
 
Ni kweli they should give information about possible situations but all this seems to be sensationalism from US media and government officials. You can also pick from their warning that they have credible-information about an "imminent attack". They should assist with intelligence gathering. And you can take the Nigeria scenario jinsi mabomu yanavorarua miji kula Kaduna state. In maana kuwa Wamarekani hawaendi Nigeria.

Mkuu, wakati mwingine Wamerikani wanapenda sana kuonyesha kwamba intelligence yao hiko MegaSmart - mambo mengi wayasemayo kuhusu kukamata sijuhi watu gani ni hoax tu za kutaka kupewa funding zaidi eti ku-track ma-terrorist! Mkuu Kabaridi kumbuka kwamba ma-terrorist wengi wa Al-Khaida walikamatwa na nchi nyingine na kukabidhiwa kwa Merikani bila hivyo Wamerikani wasingeweza kufanikiwa kuwakamata waharifu hao bila kupata msaada kutoka nchi nyingine.

Wa Israel, Wafaransa, Waingereza wakitoa onyo - mataifa hayo yakitoa onyo ntawachukulia seriously - ukiona Merikani wanatoa onyo ujuwe wamepata kutoka third PARTY, I might be wrong though.
 
Maana ya kubashiri ndio hyo, iwe kabla halijatokea, likishatokea inakuwa ni kuripoti tu. Kama viongozi wa Kenya hawataki kupewa tahadhari, basi Intelijensia yao ilipaswa kuliona hilo kabla ya intelijensia za nje. Viongozi wa Kenya walipaswa kutilia maanani hilo onyo na kushirikiana nao.

Ninawapa pole waliofikwa na maafa haya.

dont blame Kenyas' intelligence capacity. If tanzania was at war and America, a perceived super power says there will be a bomb scare in your city and advices withdrawal of her diplomats, no matter how hard you try, the sympathetic elements of the terror outfit will strike. Kwa maoni yangu na ya wengi katika intelligensia, na sizungumzi kwa niaba ya walinda usalalama ama kama mmoja wao, ''mlipuko huu ulitokea kwasababu za uchochezi wa umarekani''. There are proper channels for sharing sensitive intelligence. Kama waamerika hawangeropokwa hakuna bomu lingelipuka. Mtindo huu huu wanaoufanya hapa Kenya ndio wanaoufanya kule Nigeria. They just sit down and say a certain town will be bombed, Boko Haram being opportunistic, utilises this anxiety to bomb up Nigeria further making her more feared. Dont blame Kenyans for laxity, [BOMB BLAST] scares should be with regards to high value assets such as govt installations and 5 star hotels. But a grenade attack in the outskirts of mombasa, nope!!....americans made Kenyans suffer this blow worse still their intelligence wasnt specific and a general term. Diplomats are the last people in Kenya to even be scared of terrorism, they habour top notch security detail.
This is action is only tantamount to economic sabbotage to say the least. ''No wonder Kenya is revising her EAST-WEST foreign policy so as to strike a balance''
 
One person has been killed and several others wounded in a hand grenade attack on a bar in the Kenyan tourist hub of Mombasa, police say.
Sunday's attack comes a day after the US embassy in Kenya issued a warning on the threat of an imminent attack in Mombasa, and Kenyan police arrested two Iranians on suspicion of planning bomb attacks.
"The attack occurred at about 10pm. One person has died and we have several others injured," a police officer in Mombasa said. source aljazeera
 
intelligenstia namna gani na aina gani hiyo? Wana duru za kuaminika mbona wasielezee kwa uwazi mahali hatari inatokea. Ugaidi sio siri tena lakini hawa agenda yao iko firmly fixed kupoteza ulimwengu kuhusu levels za threats. Nikaelezea jinsi miji yanasambaratika Kule Afrika magaribi kwa ugaidi. Tunakubali kuna threats lakini sasa kublow out of proportions kana kwamba dunia inakwisha kuna maana gani? Movements za wa persian AM haswa MBSA lazima zichunguzwe.

dont blame Kenyas' intelligence capacity. If tanzania was at war and America, a perceived super power says there will be a bomb scare in your city and advices withdrawal of her diplomats, no matter how hard you try, the sympathetic elements of the terror outfit will strike. Kwa maoni yangu na ya wengi katika intelligensia, na sizungumzi kwa niaba ya walinda usalalama ama kama mmoja wao, ''mlipuko huu ulitokea kwasababu za uchochezi wa umarekani''. There are proper channels for sharing sensitive intelligence. Kama waamerika hawangeropokwa hakuna bomu lingelipuka. Mtindo huu huu wanaoufanya hapa Kenya ndio wanaoufanya kule Nigeria. They just sit down and say a certain town will be bombed, Boko Haram being opportunistic, utilises this anxiety to bomb up Nigeria further making her more feared. Dont blame Kenyans for laxity, [BOMB BLAST] scares should be with regards to high value assets such as govt installations and 5 star hotels. But a grenade attack in the outskirts of mombasa, nope!!....americans made Kenyans suffer this blow worse still their intelligence wasnt specific and a general term. Diplomats are the last people in Kenya to even be scared of terrorism, they habour top notch security detail.
This is action is only tantamount to economic sabbotage to say the least. ''No wonder Kenya is revising her EAST-WEST foreign policy so as to strike a balance''
Kwanza niwaombe radhi kama maelezo yangu yamewakwazeni. Mko sahihi mnaposema kuwa tangazo la Marekani halikuwa specific na pengine ndilo llililowafanya hawa al-Shabaab kutumia fursa. Sio ni yangu kusifu uwezo wa Marekani na kudharau wa Kenya.

Binafsi mimi ni mmoja wa watu wanaoisifu Kenya kwa ujasiri wake wa kupambana na ugaidi wa al-Qaida na al-Shabaab tafauti na nchi nyengine katika Pembe ya Afrika wakati tishio la wanyama hawa si kwa Kenya peke yake. Kinachonipa moyo katika ufuatialiji wangu wa kila siku juu ya kinachoendelea mstari wa mbele, ni kuwa siku zao zinahesabika.
 
dont blame Kenyas' intelligence capacity. If tanzania was at war and America, a perceived super power says there will be a bomb scare in your city and advices withdrawal of her diplomats, no matter how hard you try, the sympathetic elements of the terror outfit will strike. Kwa maoni yangu na ya wengi katika intelligensia, na sizungumzi kwa niaba ya walinda usalalama ama kama mmoja wao, ''mlipuko huu ulitokea kwasababu za uchochezi wa umarekani''. There are proper channels for sharing sensitive intelligence. Kama waamerika hawangeropokwa hakuna bomu lingelipuka. Mtindo huu huu wanaoufanya hapa Kenya ndio wanaoufanya kule Nigeria. They just sit down and say a certain town will be bombed, Boko Haram being opportunistic, utilises this anxiety to bomb up Nigeria further making her more feared. Dont blame Kenyans for laxity, [BOMB BLAST] scares should be with regards to high value assets such as govt installations and 5 star hotels. But a grenade attack in the outskirts of mombasa, nope!!....americans made Kenyans suffer this blow worse still their intelligence wasnt specific and a general term. Diplomats are the last people in Kenya to even be scared of terrorism, they habour top notch security detail.
This is action is only tantamount to economic sabbotage to say the least. ''No wonder Kenya is revising her EAST-WEST foreign policy so as to strike a balance''

Hawa watu yawezekana wa kimarekani. .mhhhhh, ni kama kule vietnam walipata kipigo walivyorudi wakaja kututengenezea filmu zinazoonyesha mmarekani mmoja ana wa-deal wa-vietnam kama elfu 10. Hili kwa kweli la malipuo inabidi liangaliwa kwa darubin kali.
 
US should be investigated very closely.....whenever they issue warning to their citizens anticipate any thing bad will happen they did the same in Nigeria after a certain period of time the UN office was bombed and many fatalities ware reported....Ni intellenjensia gani inayoonesha kua kumbi za starehe zitashambuliwa na watu wasiojulikana? ni lazima tuwe makini na hizi covert operation zinazofanya na US hiyo yote wanataka kustation millitary bases Kenya na mmewakaribisha tegemea mengi zaidi ya haya kwani watafanya mengi mpaka muamini na muwe ktk pokect zao....
 
Man arrested over attack at drinking den

Man.jpg


Photo/GIDEON MAUNDU An injured Mr Athuman Salim, 23, who was arrested after the blast at Jericho Beer Garden in Mishomoroni, Kisauni, Mombasa, is handcuffed to a bed at the Coast General Hospital on June 25, 2012.

Man arrested over attack at drinking den *- News*|nation.co.ke
 
dont blame Kenyas' intelligence capacity. If tanzania was at war and America, a perceived super power says there will be a bomb scare in your city and advices withdrawal of her diplomats, no matter how hard you try, the sympathetic elements of the terror outfit will strike. Kwa maoni yangu na ya wengi katika intelligensia, na sizungumzi kwa niaba ya walinda usalalama ama kama mmoja wao, ''mlipuko huu ulitokea kwasababu za uchochezi wa umarekani''. There are proper channels for sharing sensitive intelligence. Kama waamerika hawangeropokwa hakuna bomu lingelipuka. Mtindo huu huu wanaoufanya hapa Kenya ndio wanaoufanya kule Nigeria. They just sit down and say a certain town will be bombed, Boko Haram being opportunistic, utilises this anxiety to bomb up Nigeria further making her more feared. Dont blame Kenyans for laxity, [BOMB BLAST] scares should be with regards to high value assets such as govt installations and 5 star hotels. But a grenade attack in the outskirts of mombasa, nope!!....americans made Kenyans suffer this blow worse still their intelligence wasnt specific and a general term. Diplomats are the last people in Kenya to even be scared of terrorism, they habour top notch security detail.
This is action is only tantamount to economic sabbotage to say the least. ''No wonder Kenya is revising her EAST-WEST foreign policy so as to strike a balance''

You are right, kuna mahali fulani nimeahandika nikiwaonya kuhusu mbinu za Wamerikani, kama walikuwa na nia njema wange-share mambo ya intelligence na GOK kimya kimya bila yaku-resort kwenye publicity STUNT! Merikani inasahau kwamba bila kushirikiana na mataifa mengine specifically third World wasingeweza kuwakamata maharamia wa Al-Khaida na infact members wengi wa kikundi hiki walikabidhiwa/kamatwa na nchi hizo masikini - sasa kama Merikani kweli wange kuwa na a such Brilliant Intelligence Agency mbona walishindwa kuwakamata, kwa nini awawakamati BOKA-Alam/Al Shabab au kutumia drones zao kuhua viongozi wao.

Mimi nahanza kuwa na wasi wasi kwamba wenda ikawa hii ni covert mbinu za Kimerikani kutaka kutisha Africa kwamba Waislaamu watatumaliza tisipo shirikiana na Wamerikani na kuhachana na Wachina - Wamerikani wana mbinu chungu nzima, angaliana kinacho endelea kwenye nchi zilizo izunguka CHINA ndio mtaelewa jamaa hawa ni wa namna gani.

Juzi juzi hapa nilikua na angalia kuhusu Syria, unakuta CNN ndio ya kwanza kuonyesha kwamba majeshi ya ASAAD yamuhua watu wengi kwenye jengo fulani, swali ni je inakuwaje CNN ijue in advance kwamba ASSAD anataka kupiga bom jengo lililo jaa wanawake na watoto? hii siyo kwamba correpondent wa CNN wako-embeded kwenye vikundi vya wahasi wanao mpinga ASAAD wanapatiwa silaha na Merikani kuleta vurungu Syria? Ndege ya TURKEY member wa NATO imefuata mkondo huo huo wa kuichokoza Syria ili wapate kisingizio cha kuishambulia - sasa hivi wamekwisha anza ku-shade crocodile tears eti nchi member wa NATO kamshambiliwa lazima apate fundisho. Ninacho wasifia SYRIA ni kwamba they were so clever hawakutumia a deadly Electronic Air Defence System yao walio acquire from Rusia, badala yake walitumia anti-aircraft ya kawaida na kuwazidi kete NATO, kama walikua na mawazo ya kupeleleza sytem hiyo naona wamenoa.
 
You are right, kuna mahali fulani nimeahandika nikiwaonya kuhusu mbinu za Wamerikani, kama walikuwa na nia njema wange-share mambo ya intelligence na GOK kimya kimya bila yaku-resort kwenye publicity STUNT! Merikani inasahau kwamba bila kushirikiana na mataifa mengine specifically third World wasingeweza kuwakamata maharamia wa Al-Khaida na infact members wengi wa kikundi hiki walikabidhiwa/kamatwa na nchi hizo masikini - sasa kama Merikani kweli wange kuwa na a such Brilliant Intelligence mbona walishindwa kuwakamata, kwa nini awawakamati BOKA-Alam au kutumia drones zao kuhua viongozi wao.

Mimi nahanza kuwa na wasi wasi kwamba wenda ikawa hii ni covert mbinu za Kimerikani kutaka kutisha Africa kwamba Waislaamu watatumaliza tisipo shirikiana na Wamerikani na kuhachana na Wachina - Wamerikani wana mbinu chungu nzima, angaliana kinacho endelea kwenye nchi zilizo izunguka CHINA ndio mtaelewa jamaa hawa ni wa namna gani.

Juzi juzi hapa nilikua na angalia kuhusu Syria, unakuta CNN ndio ya kwanza kuonyesha kwamba majeshi ya ASAAD yamuhua watu wengi kwenye jengo fulani, swali ni je inakuwaje CNN ijue in advance kwamba ASSAD anataka kupiga bom jengo lililo jaa wanawake na watoto? hii siyo kwamba correpondent wa CNN wako-embeded kwenye vikundi vya wahasi wanao mpinga ASAAD wanapatiwa silaha na Merikani kuleta vurungu Syria? Ndege ya TURKEY member wa NATO imefuata mkondo huo huo wa kuichokoza Syria ili wapate kisingizio cha kuishambulia - sasa hivi wamekwisha anza ku-shade crocodile tears eti nchi member wa NATO kamshambiliwa lazima apate fundisho. Ninacho wasifia SYRIA ni kwamba they were so clever hawakutumia a deadly Electronic Air Defence System yao walio acquire from Rusia, badala yake walitumia anti-aircraft ya kawaida na kuwazidi kete NATO, kama walikua na mawazo ya kupeleleza sytem hiyo naona wamenoa.

Sasa ndugu nilitaka kusema haya yote ni ashante ya punda. Pamoja ya kuwa na cooperation kwa miaka mingi nakuwaheshimu hawa wameonyesha wako na mtazamo mdogo juu ya Kenya. Nanitaelezea Kinachoendelea na kukoma Nigeria ni kutokana na hawa mavericks wa US government. Kinachowasumbua akili ni kushindwa kuinua hali yao ya kiuchumi ambayo inakuwa kwa mwendo wa asilimia 2.5 ukilinganisha na mataifa mengine yanayopiga hatua. Na frustrations kama hizi ndio zinatuma wao kuantagonize emerging countries pamoja na pia wale think-tanks wa kusema kenya is a failed state. Wakati ambapo kenya inaitwa a failed state, Je! Somalia itatajwa kuwa hali gani? DRC itaitwaje!

Na ugaidi ukumbuke uliingia AM kwa sababu yao na interests zao. Sasa kuna media campaign ya kujaribu kudunisha uwezo wa vyombo vya usalama hasa AM. Na kwa kadri vyombo hivi vinajaribu sana kufanya shughuli zao. Na tena hao marekani ndio hucomplicate hali ya amani hapo Iran na Syria. kutembeza pilotless planes na yote haya ndio zinaleta hali ya kukosa amani mashariki mwa kati. Ndio wanawapa hata wanamgambo autonomy ya kutekeleza ugaidi. Una kumbuka Secretary of state wa marekani akizungumzia kuhusu haya mambo.

Hapo syria, Uturuki nao wanaonekana kuwa ndio vibaraka wa NATO na wasije wakajilaumu ikiwa Iran na Russia itawazidi nguvu marekani maana wao kwanza ndio watahaibika vilivyo. Ninasikitikia wanasiasa hapa AM, badala wao waangalie kuboresha amani na ustawi wa nchi kwa vizazi vingine, wanapoteza pesa kusafiri ulaya kutafuta msaada wa kisiasa ili waingie uongozini huku wakisahau ni almost a jubilee tangu tupate uhuru. Ubinafsi na ufedhuli zinataka kuturudisha kwenye siku za ukoloni. Ubinafsi huu ndio hatimaye itasambaratisha mataifa ya AM. haya maneno ya mwenda-zake prof. George Saitoti alituwacha nayo mwishowe hubaki kuwa ni kweli

There comes a time when a nation is more important than an individual
- Professor George Saitoti.
 
Waangalieni sana hao jamaa wamarekani si haba. Walifanya vurumai kadhaa pale uganda mara tukasikia wamepeleka majeshi yao kumsaka koni. si mda mrefu mtasikia wanaweka kakituo kao pale mombasa kuwasaidia wakenya na wana east afrika kukabiliana na magaidi, maana wa east afrika wameshindwa.

Mie ningependa kufahamishwa, hivi kwenye yale malipuko ya balozi wao miaka ile pale nairobi na dar ni wamarekani wangapi walikufa?
 
Back
Top Bottom