Kweli humu ndani kuna watu wabishi.
Niliwaambia kuwa MANDELA BADO YUKO kwenye listi na asingeweza kuwalaumu wamarekani kwani kwa sheria wangeweza kumkamata tena.
Wao wakawa wanabisha na kudai keshatolewa.
Sasa katolewa mara mbili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.