US Ambassador to Libya has been killed

Status
Not open for further replies.
Hawa ni REBEL ambao waliundwa na USA pamoja na suport waliopewa sasa wanawageukia wenyewe???

Sasa tuone na REBEL waliopelekwa SYRIA na wao kama kweli wapo kupigania haki ya watu wa SYRIA au USA.

Dunia duara jamani ukizunguka utajikuta umefika palepale ulipoondokea,lets see what is next....

For real America has failed on Libya. Waarabu ni kaka za waisrael so ngoma droo.
 
(CNN) -- The United States ambassador to Libya, J. Christopher Stevens, was killed in a rocket attack on the U.S. Consulate in the city of Benghazi on Tuesday, President Obama said Wednesday.
"I strongly condemn the outrageous attack on our diplomatic facility in Benghazi, which took the lives of four Americans, including Ambassador Chris Stevens," Obama said in a statement.
"Chris was a courageous and exemplary representative of the United States," Obama said.
The other three victims were American security staff, said a contractor working at the mission, who asked not to be named for security reasons.
120912102830-john-christopher-stevens-4-story-body.jpg
U.S. ambassador to Libya killed
120912013934-libya-consulate-protests-horizontal-gallery.jpg
Protesters storm U.S. Embassy walls


120912101837-exp-early-tahawy-egypt-libya-attack-00002001-story-body.jpg
Fringe group behind Libya attacks?
He said he saw all four bodies on the street Wednesday morning.
An "angry crowd" marched on the consulate on Tuesday, angry about an online film considered offensive to Islam, Libya's Deputy Interior Minister Wanis al-Sharif said Wednesday. The U.S. mission in Egypt was also attacked Tuesday in response to the film.
Al-Sharif said that consulate security staff opened fire when they heard gunfire outside the mission.
"This led to more anger and this is when the consulate was stormed," he said, suggesting that there were elements loyal to the regime of deposed dictator Moammar Gadhafi aiming to create chaos among the protesters.
"Criminals managed to get in and they burned and ransacked the consulate," he said.
The U.S. mission is very badly damaged, the contractor said.
Libyan Deputy Prime Minister Mustafa Abushagur said Stevens was "a friend of Libya, and we are shocked at the the attacks on the U.S. consulate in Benghazi."
"I condemn these barbaric acts in the strongest possible terms. This is an attack on America, Libya and free people everywhere," Abushagur said on Twitter.
The contractor in Benghazi said he could hear rocket-propelled grenade attacks Tuesday night.
Libyans were also killed, the contractor said, saying the victims were shot on the spot.
The bodies of the four Americans are now at Benghazi airport, the contractor said, citing the Libyan minister of foreign affairs and a top immigration official in Benghazi.
Libya's governing party condemned the attack as a "criminal and cowardly act" and vowed to "track down the perpetrators and to maintain the country's security and the safety and security of its guests," Libya's official LANA news agency reported.
Stevens was the American envoy to the Libyan rebel movement that overthrew Gadhafi last year, based in the rebel capital of Benghazi.
A speaker of Arabic and French, he was among the first American diplomats sent to Libya in 2007 when the United States resumed ties with the Gadhafi regime.
The last time an American ambassador was killed by terrorists was in 1979, when the envoy to Afghanistan, Adolph Dubs, was kidnapped and killed during an attempt to rescue him, according to State Department records.
 
For real America has failed on Libya. Waarabu ni kaka za waisrael so ngoma droo.


Kidzude
For real America has fail all the war,na waisrael hawawezi kuwa kaka wa waarabu kwasababu hao waliokuwepo sio wenyewe ni wahamiaji tu na kujiita wao ni waisrael.Kwao ni Europe na hawapaswi kutawala ktk ardhi ya waarabu ni kama ilivo S.Africa na wazungu waliohamia na kusema kwao halafu kuwatesa weusi na kuwabagua.
 
Nadhani ni jambo la kujivunia kwa wapigania haki wa Libya anayeuwa naye adhabu yake ni kifo, safi sana hicho ndiyo walichopanda Wamerekani na bado mavuno yatakuwa mengi.
 
Gaddafi aliwaambia nchi inachukuliwa na Alkaeda wakfumba mcho kwa tamaa za mafuta.Sasa ni kweli wanavuna walichopanda kwa hakika.
 
Nadhani ni jambo la kujivunia kwa wapigania haki wa Libya anayeuwa naye adhabu yake ni kifo, safi sana hicho ndiyo walichopanda Wamerekani na bado mavuno yatakuwa mengi.


Economic Hitman ndo inapeleka feedback kwa Marekani. Komenti nyingi zinaonyesha jinsi Marekani ilivyo machoni pa watu wengi. Hizi ni negative reactions ambazo wengine wamefikia mbali mpaka kuaandamana na kuuaa.
 
Mama Clinton anazungumza sasa hivi anasema waliofanya hivyo vitendo lazima walipe,na wameshaanza mpango huo wa kuwasaka.Hao sana sana ndo wamewakaribisha wanajeshi wa marekani Libya.Kiukweli wamarekani lazima waende watahakikisha nao wanauwa na kukamata.Hao walibya wajinga sana.Haya ya kuuwawa kwa balozi na staffs wengineyasingetokea chini ya Gaddafi.They could've chose a different path to overthrow him.Wamarekani waliambiwa ni extremists wanamfanyia Gaddafi na kuchukuwa nchi, lakini kwasababu siyo wao walikuwa wanauwawa,basi wakafumbia macho!Hao waliouwa hao wamarekani wanne akiwemo balozi,nadhani hawajui kuwa wamefanya kitu ambacho marekani wanapenda,kwani wanapenda vita na pia sasa ndo watajikita huko vizuri zaidi kwa kigezo cha kulinda watu wake na interests zake.
 
Gaddafi aliwaambia nchi inachukuliwa na Alkaeda wakfumba mcho kwa tamaa za mafuta.Sasa ni kweli wanavuna walichopanda kwa hakika.

Mkuu kuna mtu kanidokeza kuhusu SADC conference iliyopita kwamba waliumbuliwa hawa Jamaa kwa kutumia M7 na Kaga kuvuruga Kongo
 
Romney naye anaingia na siasa zake,kasema eti "let's make sure the Arab spring doesn't become a Arab winter",Eti anamlaumu Obama.Eti anasema Obama ni mtu wa kuwaomba magaidi misamaha..
 
Mama Clinton anazungumza sasa hivi anasema waliofanya hivyo vitendo lazima walipe,na wameshaanza mpango huo wa kuwasaka.Hao sana sana ndo wamewakaribisha wanajeshi wa marekani Libya.Kiukweli wamarekani lazima waende watahakikisha nao wanauwa na kukamata.Hao walibya wajinga sana.Haya ya kuuwawa kwa balozi na staffs wengineyasingetokea chini ya Gaddafi.They could've chose a different path to overthrow him.Wamarekani waliambiwa ni extremists wanamfanyia Gaddafi na kuchukuwa nchi, lakini kwasababu siyo wao walikuwa wanauwawa,basi wakafumbia macho!Hao waliouwa hao wamarekani wanne akiwemo balozi,nadhani hawajui kuwa wamefanya kitu ambacho marekani wanapenda,kwani wanapenda vita na pia sasa ndo watajikita huko vizuri zaidi kwa kigezo cha kulinda watu wake na interests zake.

Mkuu watafanya hivyo mpaka lini? Naona chuki inasambaa kwa kasi kubwa sana hata Africa. Mi nafikirie wajali haki za binadamu kama wanavyosema kwa kumaanisha na wala siyo hizo propaganda zao. Kuna siku itakuwa kama Germany na Dunia kama ilivyokuw vita kuu ya pili ya dunia.
 
Mkuu watafanya hivyo mpaka lini? Naona chuki inasambaa kwa kasi kubwa sana hata Africa. Mi nafikirie wajali haki za binadamu kama wanavyosema kwa kumaanisha na wala siyo hizo propaganda zao. Kuna siku itakuwa kama Germany na Dunia kama ilivyokuw vita kuu ya pili ya dunia.

Obama ndiyo anaongea sasa...

Mkuuwa wao wamarekani wana silaha na hawaogopi kuzitumia.Wenye kufa kwa wingi ni wananchi wa maeneo hayo.Maextremists nao hawajali na huruma pia hawana.Sidhani kama wanajali kuhusu maisha ya innocent civilians.

Kwa upande wa hiyo filamu,wenzetu wamarekani hawana shida na freedom of speech.Lakini pia haina maana kwamba kitendo cha raia wake mmoja ndo kitendo cha serikali ama nchi nzima.

Ni vyema kuwa na tolorence,pia si vyema kutukana ama kubeza imani za wengine.Lakini pia kwani kitendo cha mtanzania mmoja kinaweza kutafsirika kama kitendo cha watanzania wote?hapo ndo utaona hao extremists hawatumii akili,popote pale walipo.
 
Obama ni mtu wa principle,habaishwi eti sijui na waziri wa Israel,na hakurupuki kama mirobot ambayo kwanza inabidi iwe humanized.Kwanza ingekuwa ni kati ya hao maextremist wa kimarekani ambao nao wana mawazo ya kialkaeda lakini upande wa wakristo,basi hadi sasa ni serikali ya mpito inayoongozwa na mmarekani kama ilivyokuwa Iraki yule Bremer III ambayo alikuwa rais wa iraki kwa muda.Na jeshi lingekuwa pale Libya na greenzone!Hao maextremist dizaini hiyo itawachukuwa muda kukamata madaraka marekani.Mark ma words...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom