Urusi yasherehekea Victory day leo kimya kimya miji mingi, kifaru kimoja tu chashiriki military parade

Urusi naye atafute washirika ili na yeye asiishie kubweka tu ohh Ukraine hayuko peke yake kuna walio nyuma yake na yeye si atafute wa kuwa nyuma yake

Mbona katafuta Wagner group wawe nyuma yake atafute wengine

Kwa nini akomae tu kusema Ukraine ana watu nyuma kwani yeye hana ? Wako Wagner group wako Iran wanampa Kamikaze Drones atafute wengine

Kwani kazuiwa? Atafute
Kumbe huna akili kwa taarifa yako wagner group ni kampuni aliyoianzisha yeye Putin na ipo dunia nzima kwaajili ya kupigania maslahi ya wanyonge na kuwapinga mabeberu.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Putin kwenye hotuba kalalamika kasema they want to engage in a Real war

Alidhani Ukraine alikuwa anacheza mdundiko sasa akili zimemwingia kasema warusi wajiandae Ukraine imeamua kuanza real war
Ukraine imeamua au wao wameamua?
 
Wiki ijayo mtakuja hapa kusema Russia anaua watoto Ukraine
Leo mnasema amebakiwa na kifaru kimoja cha mwaka afu tisa Mia
Tatizo lenu mnakuwaga vichaa , mlisema urus anatumia silaha za enzi za ussr leo kawaumbua kuwa hana stock nyingine zaid ya hizo zilizopo front ndio maana katumia kifaru kimoja tu
 
Sasa Acha hivyo Vitoti vife, si vinakufa kwa nawe,Maana Russia ameishiwa silaha.
Siyo Ukraine wala hao Mabwana zako wa NATO wanaoweza kupigana vita na Urusi.
Siku siyo nyingi wataomba poh
Huma afya ya akili , mtu kavamia nchi ya jiran bad unashabikia kwa uchungu kama vile una uraia wa urusi
 
Back
Top Bottom